Georginio Wiljnaldum

Mchezaji Georginio Wiljnaldum yuko mbioni kuungana tena na Liverpool huku akijiandaa kujiunga na Al Ettifaq. Beti na Meridianbet kwa odds kubwa na machaguo kibao, pia unaweza kubashiri mubashara.

Kiungo huyo wa kati wa Uholanzi anatarajiwa kufanyiwa uchunguzi wa kimatibabu kabla ya kuhamia Saudi Arabia kwa pauni milioni 8.5.

Wiljnaldum kwa sasa anachezea klabu ya Paris Saint-Germain lakini mustakabali wake katika klabu hiyo hauko wazi tangu kuwasili kwa kocha mpya Luis Enrique.

Ukiwa na meridianbet odds kubwa, kasino ya mtandaoni na michezo ya sloti.


Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 32 alitumia miaka mitano na Liverpool kati ya 2016 na 2021 ambapo alikuwa sehemu ya safu ya kiungo ya Anfield yenye mafanikio makubwa.

Ataungana na kiungo wa zamani wa Liverpool Jordan Henderson chini ya usimamizi wa gwiji wa Liverpool Steven Gerrard katika klabu ya Al Ettifaq.

Odds kubwa kasino ya mtandaoni na michezo ya sloti ni vitu vinavyoweza kubadilisha maisha yako kwa kukupatia pesa nyingi. Ingia mchezoni hapa.


JIBU

Tafadhali andika maoni yako
Tafadhali andika jina lako hapa