Liverpool Kumchukua Kiungo wa Bayern Ryan Gravenberch

Ryan Gravenberch

Liverpool wameiarifu Bayern Munich kwamba watatoa ofa rasmi kwa kiungo Ryan Gravenberch. Beti na Meridianbet kwa odds kubwa na machaguo kibao, pia unaweza kubashiri mubashara.

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 21, ambaye thamani yake ni karibu £30m, hakufanya mazoezi na wenzake siku ya Alhamisi asubuhi alipokuwa akisubiri mazungumzo.

Odds kubwa kasino ya mtandaoni na michezo ya sloti ni vitu vinavyoweza kubadilisha maisha yako kwa kukupatia pesa nyingi. Ingia mchezoni hapa.

Bayern bado wanataka kusajili kiungo mpya wao wa kwanza na kusalia kwenye mazungumzo na Fulham juu ya Joao Palhinha.

Gravenberch alikubali masharti binafsi ya kuhamia Merseyside mapema wiki hii.

Mchezaji huyo wa kimataifa wa Uholanzi alijiunga na Bayern kwa pauni milioni 21 msimu uliopita wa joto kwa mkataba wa miaka mitano huku miamba hao wa Bavaria wakipuuza nia ya Manchester United kupata saini yake.

Tembelea duka la ubashiri-Meridianbet kutandika jamvi lako kwa odds kubwa.

 

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.