LaLiga Kutochezwa Tena Jumatatu!
Football

Mechi za LaLiga zitakuwa hazichezwi tena siku ya jumatatu! Hii ni taarifa kutoka kwa raisi wa shirikisho la soka la Uhispania bwana Luis Rubiales. Unaionaje hii mechi za LaLiga kutochezwa …

Soma zaidi
Wanaofanya Vizuri Safu ya Ulinzi
Football

Kwa kadri siku zinavyosonga mbele majukumu ya ulinzi nayo yamekuwa yakibadili mwekekeo wake, kutoka katika hali iliyokuwepo hapo awali ya kwamba kazi ya mabeki ni kulinda na kuzuia mipira isiweze …

Soma zaidi
Bado Wanafumania Nyavu…
Football

Furaha ya mchezaji hususani mshambuliaji hukamilika pale anapoona ana mafanikio makubwa ya kuipa ushindi timu yake na kuandika historia ya kuifungia timu yake idadi fulani ya magoli ambayo kwa namna …

Soma zaidi
Mikataba ya Matangazo
News

Michezo ni miongoni mwa biashara kubwa na nzito sana ambayo wenye uelewa na akili juu ya biashara hiyo na aina ya uwekezaji unaofanywa hapo anaweza kuona kama mambo yanayofanyika ni …

Soma zaidi
Kiukweli Solskjaer Anamkuna Lukaku
Football

Meneja wa Mpito wa Manchester United ameendelea ku8bamba sana kwenye soka la Ulaya na kuwa changamoto mpya kwa vinara wa Ligi ya Uingereza toka alipochukua majukumu ya mda ya umeneja …

Soma zaidi
Guardiola: Wakati Mgumu kwa Man City
Football

Pep Gualdiola anaamini kuwa klabu yake ipo kwenye wakati mgumu zaidi kushugulikia hali ya wachezaji klabuni hapo kufuatia shida ya majeraha. Wachezaji kama Aymeric Laporte, John Stones na Gabriel Jesus …

Soma zaidi
Kufungwa Si Kuishiwa Mbinu!
Football

Inaonekana kabisa kwamba Santiago Solari alijua nini kitatokea kwa kikosi chake pindi atakapokutana na miamba wenzao wa soka nchini Hispania. Imezoeleka kwamba wawili hao wanapokutana mchezo wao hutawaliwa na ufundi …

Soma zaidi
Macho ya Barcelona kwa Andre Onana
Football

Taarifa zinaripoti kuwa klabu ya Barcelona bado inatupia macho yake kule Ajax, wakiwa wanamlenga golikipa Andre Onana. Kwa mujibu wa wakala wa golikipa huyu Barcelona baada ya kumaliza dili la …

Soma zaidi
9 Nje United Wakiwavaa Crystal Palace
Football

Manchester United wanatarajia kuwakosa wachezaji wao 9 wakiwavaa Crystal Palace leo. Meneja wa mpito wa Man Utd, Ole Gunnar amethibitisha kwamba watawakosa baadhi ya wachezaji lakini haibadilishi lengo la timu …

Soma zaidi
Historia Mbovu Ndani ya UEFA…
Bundesliga

Kuna baadhi ya mameneja hawajawahi kubahatika hata mara moja kunyanyua ndoo ya klabu bingwa Ulaya pamoja na historia nzuri waliyonayo katika soka hilo. Kama ilivyo historia ya michuano hiyo kwa …

Soma zaidi
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.