Solskjaer: Ni Liverpool Yenye Ukame wa Taji
Football

Ole Gunnar amewachana Liverpool kama klabu yenye ushindani mkubwa lakini ina ukame wa mataji! Anasema kitu kama hiki hakitakiwi Manchester United. Manchester United wamekuwa washindani wakubwa katika miongo kadhaa na …

Soma zaidi
Leicester Wamemtumbua Claude Puel
Football

Klabu ya Leicester City wamemtumbua aliyekuwa meneja wa klabu Claude Puel hiyo baada ya kuonekana ameshindwa kuwapatia matokeo ambayo wanayatarajia au kuyahitaji zaidi katika kipindi hiki. Meneja huyu anaripotiwa kuwa …

Soma zaidi
Mbappe na Di Maria Wanamkosha Tuchel
Football

Vijana wa Paris Saint Germain -PSG, Angel Di Maria na Kylian Mbappe wanamkosha meneja wa klabu hiyo bwana Thomas Tuchel kwa ushirikiano wao kama pea wanavyokuwa dimbani. Watabe hawa wa …

Soma zaidi
Chelsea Wapitiwa na Makucha ya FIFA
Football

Klabu ya Chelsea imepigwa nyundo ya kutokufanya usajili wowote kwa muda wa misimu miwili na Shirikisho la Soka la Dunia. Adhabu hiyo imekuja wakati klabu hiyo ikiwa katika kipindi cha …

Soma zaidi
Lingard, Martial Ndani Kuwavaa Liverpool
Football

Manchester United wanakabiriwa na moja ya gemu ngumu na muhimu ili waendelee kupambania nafasi yao ya kumaliza katika 4 bora kama ili waweze kushiriki Ligi ya Mabingwa Ulaya. Anthony Martial …

Soma zaidi
Sarri Anahusishwa Kwenda Roma!
Football

Klabu ya Chelsea imekuwa ikipata matokeo mchanganyiko siku za hivi karibuni huku kutoridisha kwa matokeo kukichukua nafasi kubwa. Sarri amekuwa akishikiwa kidedea na baadhi ya mashabiki kuwa asepe klabuni hapo, …

Soma zaidi
Mazao Ambayo Barca Inatamani Kuyarudisha
Football

Ni utamaduni kwa klabu kubwa kuwa na academy ambazo huwa na nia ya kuzalisha wachezaji ambao wataweza kukidhi mahitaji ya klabu zao au hata kuwauza wachezaji hao nje kwa klabu …

Soma zaidi
Nigeria: Ambao Hawajawahi Kucheza Huko
Football

Nigeria ni miongoni mwa nchi zinazoheshimika duniani hasa upande wa soka. Ina wachezaji wengi wenye vipaji na uwezo mkubwa sana. Pamoja na hilo kuna wachezaji ambao hawajawahi kugusa majina yao …

Soma zaidi
Wenye Utajiri Mkubwa…
Football

Wachezaji wengi wenye utajiri mkubwa duniani huupata kutokana na mikataba yao inayowajali na kuwafanya kuwa huru kufanya mambo mengi bila kuwa na mipaka; vilevile baadhi ya tuzo na nyongeza mbalimbali …

Soma zaidi
Rudiger Amkingia Kifua Sarri
Football

Mlinzi wa klabu ya Chelsea, Rudiger ameamua kutoa yake ya moyoni kuhusiana na taarifa zinazoendelea miongoni mwa mashabiki wa kikosi hicho kuhusu mwalimu wao na mfumo unaotumika kikosini hapo hadi …

Soma zaidi
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.