Neymar Alimwaga Machozi Siku2!
Football

Staa wa Paris Saint German -PSG Neymar ametoboa siri kuwa alimwaga machozi kwa siku 2 mfululizo baada ya kupata jeraha lake la pili mwezi uliopita lililofanana na lile alilolipata mwanzo …

Soma zaidi
Messi Atasalia Tu
Football

Rais wa klabu ya Barcelona, Josep Maria Bartomeu hana wasiwasi juu ya kusalia kwa Messi ndani ya kikosi chao katika msimu ujao huku kandarasi yake ikiwa inaelekea ukingoni kwa sasa. …

Soma zaidi
Robo Fainali ya FA
Football

Baada ya mechi za awali kupigwa na matokeo kupatikana hatua inayoelekea kwa sasa ni robo fainali ambapo timu hizo zitaumana tena ili kupata timu zitakazoelekea hatua ya nusu fainali. Ndani …

Soma zaidi
Usiku wa Ligi ya Mabingwa
Football

Baada ya mechi kadhaa kupigwa wiki lililopita leo michuano ya ligi ya mabingwa barani Ulaya inarejea tena viwanjani kwa mitanange mikali inayotegemewa kuwa na ushindani wa kusisimua sana kitu ambacho …

Soma zaidi
Prince Amekanusha Kuinunua United
Football

Kulikuwa na taarifa kuwa mwana wa mfalme wa Saudi Arabia, Prince Mohammed Bin Salman kuwa anahitaji kuinunua klabu ya Manchester United na yupo mazungumzoni kukamilisha dili hilo kwa ofa ya …

Soma zaidi
Juve Kwenye Orodha ya Wamiliki Matajiri
Football

Klabu ya Juventus ipo kwenye orodha ya klabu ambazo zinamilikiwa na wamiliki matajiri zaidi. Klabu hii inashikilia nafasi ya 3 kwenye chati wakati wapinzani wao Inter Milan wakiwa nafasi ya …

Soma zaidi
Robben: Anfield ni Dimba Baya!
Football

Veterani anayekipiga katika klabu ya Bayern Munich Arjen Robben anasema kwa mtazamo wake Anfield ndiyo dimba baya zaidi kwake wakati wakifanya maandalizi kuelekea kwenye gemu na Liverpool dimbani hapo. Mabingwa …

Soma zaidi
Icardi Atabaki Inter -Mkewe Nara
Football

Mauro Icardi ameripotiwa kuwa katika kipindi fulani cha sintofahamu pale klabuni Inter Milan huku akivuliwa unahodha klabuni hapo. Baadhi ya tetesi ziliripoti kuwa suala hilo linahusiana na mipango yake ya …

Soma zaidi
Hatua Kubwa Aliyopiga Shaqiri
Football

Nyota wa Liverpool Xhedran Shaqiri amewathibitishia kuwa yeye siyo mtu wa mchezo mchezo wale waliokuwa wanadhani ataenda kuboronga klabuni Liverpool. Shaqiri amepiga hatua kubwa tangia alipoingia klabuni hapo. Msimu huu …

Soma zaidi
Namba 4 za Ed Woodward
Football

Baada ya kipindi cha fungate cha kocha wa mpito wa United, Ole Gunnar Solskjaer kuisha kutokana na kupokea kichapo kutoka kwa mabingwa wa Ufaransa PSG katika hatua ya 16 bora …

Soma zaidi
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.