PSG na Man U Kujibu Kesi Uefa
Football

Baada ya PSG kufanikiwa kuwachapa Manchester United 2-0 kwenye gemu yao ya Ligi ya Mabingwa Ulaya Jumanne, timu zote mbili sasa ziko kikaangoni wakiwa na tuhuma za kujibu kwa Uefa. …

Soma zaidi
Mwezi 1 Washikilia Kibarua cha Mtu!
Football

Matajiri wa Chelsea wanaonekana kutopendezwa na mwenendo wa klabu hiyo hadi sasa, kutokana na kupokea vichapo mara kadhaa kitu ambacho kwao sio cha kawaida kabisa. Kutokana na kelele hizo ni …

Soma zaidi
Cheslsea: Zidane Kumng’oa Sarri!
Football

Meneja wa sasa wa Chelsea Maurizio Sarri anaonekana ameshapoteza radha pale klabuni Chelsea kukiwa na shinikizo kutoka kwa baadhi ya wadau na mashabiki kuwa meneja huyu atimuliwe tu! Taarifa zinadai …

Soma zaidi
Wafungaji wa Muda Wote wa Barca
Football

Kila klabu duniani huwa na aina ya wachezaji ambao hushikilia rekodi fulani ambayo huwa imeisaidia klabu hiyo kuwa katika hatua fulani kisoka. Baadhi ya klabu kubwa huwa na watu ambao …

Soma zaidi
Mwarabu Atafunwa Kweupe!
Football

Baada ya kupokea zawadi ya mkono wa magoli katika mechi yao ya awali ambayo wekundu hao walicheza soka la hovyo kuwahi kulicheza katika historia yao ya soka kwa kati ya …

Soma zaidi
Itakuwaje Hazard Akitimkia Hispania?
Football

Hazard amerudi juu tena kwenye vichwa vya habari kwa mara nyingine baada ya kuonekana kwamba amekwishaonja maisha ya klabuni hapo na sasa anaonekana kutaka kutimka klabuni hapo akajaribu maisha mengine …

Soma zaidi
Wanaofukuzia Kiatu cha Dhahabu 2019
Bundesliga

Miongoni mwa tuzo zenye heshima barani Ulaya ni kiatu cha dhahabu ambacho hutolewa kwa mfungaji anayeongoza kwa kupachika mabao mengi kwenye ligi anayoichezea na kuonesha mchango mkubwa katika klabu yake. …

Soma zaidi
De Gea: Tutashinda Mataji
Football

Golikipa fundi wa Manchester United, David de Gea anasema kuwa anaamini wana kikosi bora kwa sasa ambacho kitawafanya wajikusanyie mataji. Amezungumzia changamoto iliyopo kuelekea kuwakabili PSG kwenye Ligi ya Mabingwa …

Soma zaidi
Wanasaini Tu, ni Zamu ya De Gea!
Football

Toka Manchester United ilipopata meneja mpya wa mpito bwana Ole Gunnar, wachezaji wamekuwa na ujasiri wa kuongeza mda wao klabuni hapo! Wachezaji ambao walikuwa wanasua sua kusaini mikataba mipya sasa …

Soma zaidi
Sarri Hatamzuia Hazard Kusepa!
Football

Meneja wa Chelsea, Maurizio Sarru amesema kuwa hatamzuia nyota wa klabu hiyo Eden Hazatd kusepa klabuni hapo kufuatia mpango wake wa kujiunga na Real Madrid. Nyota huyu amekuwa akizungumiwa kuhusu …

Soma zaidi
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.