Usajili Hatari wa Juve Kutoka Uingereza
Baada ya fununu za muda mrefu kwamba Ramsey amesaini kuichezea Juventus kwa msimu ujao, mchezaji huyo raia wa Wales amesaini kandarasi inayomuweka klabuni hapo hadi 2023; atakuwa analipwa kiwango cha …
Mbappe Achana Rekodi Nyingine
Mbappe ameweza kufikia rekodi nyingine iliyowahi kuwekwa na raia wa Brazil, Ronaldo Luís Nazário de Lima ya ufungaji wa magoli katika michuano mikubwa kabisa barani Ulaya ya klabu bingwa. Akiwa …
Rabiot Ameamua Kuchagua Timu
Kiungo wa PSG Adrien Rabiot ameamua kufanya maamuzi magumu klabu gani ataenda wakati akiripotiwa anawavutia klabu za Arsenal, Liverpool, Tottenham na Barcelona. Nyota huyu ambaye anazivutia klabu kubwa zaidi Ulaya …
Iglesias Awachomolea Everton na Westham
Straika wa Espanyol, Borja Eglesias awachomolea klabu za Ligi Kuu Uingereza akidai kuwa yeye bado anajiona kuwa ataendelea kuwepo klabuni hapo. Straika huyu mwenye miaka 26 anaripotiwa kuwa amekuwa kivutio …
Kurejea kwa Alex Ferguson United
Klabu ya manchester united imethibitisha kuwa aliyekuwa meneja wa klabu hiyo, Alex Ferguson ataiongoza klabu hiyo kwenye mechi ya muhimu ya kumbukumbu pale Old Trafford mwezi Mei. Unashangazwa na mkongwe …
Namba za Jezi Zilizowekwa Kabatini
Kuna historia ambayo mara nyingi hujificha ndani ya jezi fulani zinazovaliwa na wachezaji wa klabu mbalimbali wanazozichezea. Baadhi ya namba huwa na maana kubwa kwa wachezaji wanaozitumia. Bayern Munich wao …
Sakata la Özil na Emery…
Hivi karibuni kumekuwa na mazingira ya kutunishiana misuli kati ya kocha wa Arsenal na maisha ya mchezaji Özil ambaye anakipiga katika kikosi hicho kwa kipindi kirefu kwa sasa huku akiwa …
Valverde Ameangusha Saini Mkataba Mpya
Meneja wa Barcelona Elrnesto Valverde ameangusha saini kwenye mkataba mpya unaomuongezea mwaka mmoja wa kuwepo klabuni hapo. Mkataba huu mpya unaendelea kumuweka klabuni hapo hadi mwaka 2020, mkataba huu pia …
Wapiga Vyenga Hatari Duniani…
Soka sio kushuhudia magoli tu namna yanavyofungwa nyavuni bali inachangiwa na ule ufundi unaooneshwa na wachezaji uwanjani ili kuyapata magoli hayo, na hapo ndipo tunasema mchezaji fulani amekamilika na anafaa …
Ligi Tajiri Afrika
Pamoja na kuwa na ligi nyingi sana duniani lakini kuna ligi chache zinazopewa sana heshima na kufahamika na watu wengi, na wakati mwingine hata umaarufu na kufuatiliwa kwa ligi hizo …

