Inter Ipo Katika Mazungumzo ya Kumnunua Golikipa wa Bayern Sommer
Inter wameelekeza mawazo yao katika kumsajili mlinda mlango wa Bayern Munich Yann Sommer endapo Andre Onana ataondoka kwenda Manchester United. Romano anapendekeza kwamba Inter ‘wamefungua mazungumzo’ na Sommer, ambaye …
Nelson Anataka Kuipeleka Arsenal Kwenye Ngazi Nyingine
Reiss Nelson hakutaka kukosa Arsenal kwenda kiwango kingine alipotia saini mkataba mpya wa miaka minne katika Uwanja wa Emirates. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 23 alijiunga na The …
Leeds Yampeleka kwa Mkopo Koch Eintracht Frankfurt
Robin Koch ameanza safari inayotarajiwa ya kuhama Leeds kufuatia kushuka daraja kutoka kwa Ligi Kuu kwa kujiunga na Eintracht Frankfurt kwa mkopo kwa kampeni za 2023-24. Beki huyo wa …
Arteta Amuaga Mchezaji Wake Xhaka
Mkufunzi wa Arsenal Mikel Arteta amemuaga mchezaji wake wakati Granit Xhaka ambaye ameondoka katika klabu hiyo na kuelekea Bayer Leverkusen. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 30 alihamia timu …
Dirisha la Usajili Litumiwe Vizuri
MUDA unakwenda mbio sana, ukitazama kalenda yako utagundua kua umebaki mwezi mmoja pekee kabla ya kuanza kwa msimu mpya wa ligi 2023-24 na siku za kufanya usajili pia nazo zinakatika …
Yanga Kufanya Umafia Soko la Usajili
WAKIWA wanasuka mipango kwa umakini kuboresha kikosi cha Yanga kwa ajili ya msimu wa 2023/24, bosi mzito wa timu hiyo ameweka wazi atawafuata wachezaji popote watakapokuwa. “Hiyo baada ya kutokea …
Kocha Mpya wa Makipa Simba ana Mabalaa
RASMI Simba imetangaza kocha mpya wa makipa kwa ajili ya kuwa na timu hiyo kwa msimu wa 2023/24. Ikumbukwe kwamba kocha huyo alikuwa ni shuhuda wa Yanga wakitwaa ubingwa wa …
Osimhen: “Ni Heshima Kubwa Kucheza Chini ya Mourinho”
Nyota wa Napoli, Victor Osimhen alisimulia tukio muhimu aliloshiriki na kocha Jose Mourinho wakati klabu hiyo iliposhinda 2-1 dhidi ya Roma. Mshambuliaji huyo wa Nigeria mwenye umri wa miaka …
Caser Azpilicueta Alia Akiaga Kuondoka Chelsea
Gwiji wa Chelsea Cesar Azpilicueta ametokwa na machozi wakati akizungumza kupitia video ya kuaga yenye hisia kali baada ya kuthibitishwa kuwa anaondoka katika klabu hiyo. Ukiwa na meridianbet odds kubwa, …
D’Ambrosio Anakaribia Uhamisho wa Bure Kwenda Lazio
Beki wa zamani wa Inter Danilo D’Ambrosio anakaribia kukamilisha uhamisho wa bure kwenda Lazio. Beki huyo wa kati wa Italia mwenye umri wa miaka 34 alimaliza ushirika wa miaka …

