De Gea Aacha Rekodi ya Kipekee Utd
Aliyekuwa mlinda mlango namba 1 wa Manchester United David De Gea ameacha rekodi ya kutisha klabuni hapo baada ya kutangaza kuachana na na Mashetani Wekundu. Meridianbet wamejipanga vizuri kukufanya kuwa …
Hali ya Van der Sar Imetulia, Baada ya Ubongo Kuvuja Damu
Kipa wa zamani wa Uholanzi na Manchester United Edwin Van der Sar hali yake bado sio nzuri baada ya kuvuja damu kwenye ubongo wake japo imetulia kidogo. Edwin mwenye …
Howe Anamuhitaji Harvey Barnes
Newcastle ambayo ipo chini ya kocha mkuu Eddie Howe, wanajipanga kumfanya Harvey Barnes kuwa mchezaji wao wa pili mkubwa kusajiliwa msimu huu wa joto. Gazeti la The Guardian limeripoti …
Beki wa Leeds Llorente Arejea Roma kwa Mkopo wa Msimu Mzima
Beki wa Leeds Diego Llorente amejiunga tena na Roma kwa mkopo hadi mwisho wa msimu wa 2023-24. Llorente mwenye miaka 29, alitumia kipindi cha pili cha msimu uliopita na …
Gwiji wa Chelsea Terry Anarejea Stamford Bridge
Nahodha wa zamani wa Chelsea John Terry ametangaza kurejea katika klabu hiyo katika nafasi ya ukocha. Terry aliichezea The Blues mechi 717 kati ya 1998-2017, akiwa nahodha hadi kutwaa …
Yanga Yaeleza Malengo Yao ya Usajili
Uongozi wa Yanga umesitiza juu ya kumalizana na wachezaji wote ambao walikuwa wakiwahitaji, huku wakiweka wazi kuwa hakuna mchezaji mwingine yeyote ambaye walikuwa wanamhitaji ambaye hawajamalizana naye. Mabingwa hao watetezi …
Onyango Aibukia Singida
BEKI wa kazi ndani ya kikosi cha Simba Joash Onyango anatajwa kuingia kwenye rada za Singida Fountain Gate yenye maskani yake Singida. Jioni ya Julai 8 2023 ilikuwa ikisambaa picha …
Msuva: Kibabage Ataendelea Kuwashangaza
STAA wa Tanzania Simon Msuva amesema kuwa beki mpya wa Yanga Nickson Kibabage atawashangaza watu kwa kuwa ana uwezo mkubwa sana Simon Msuva alisema hayo baada ya beki huyo kuungana …
De Gea Atimka Rasmi Man United
Aliyekua golikipa wa klabu ya Manchester United David De Gea ametangaza kuachana na klabu hiyo baada ya kuitumikia kwa kipindi kirefu na anaondoka kama mchezaji huru. De Gea ambaye alijiunga …
Casemiro: Malengo yangu Kombe la Dunia na Kuirudisha United Juu
Kiungo wa klabu ya Manchester United na timu ya taifa ya Brazil Carlos Casemiro ameweka wazi kua malengo yake makubwa kwasasa ni kushinda kombe la dunia na Brazil na kuirudisha …

