Msuva: Kibabage Ataendelea Kuwashangaza

STAA wa Tanzania Simon Msuva amesema kuwa beki mpya wa Yanga Nickson Kibabage atawashangaza watu kwa kuwa ana uwezo mkubwa sana

Simon Msuva alisema hayo baada ya beki huyo kuungana na Yanga: ” Mimi nimecheza Yanga naijua Yanga ingawa siijui kwasasa kama ambavyo wakati nacheza pale, ila naamini ubora wa Kibabage kwa juhudi zake watu watashangaa,”MsuvaYanga ni timu kubwa, anatakiwa akienda pale atambue kwamba atawakuta wenzake ambao nao ni bora, kitakachomsaidia ni juhudi zake hasa mazoezini, anatakiwa sasa kufanya mazoezi mara mbili ya kile alichokuwa anafanya Singida, ”

” Mimi huwa nafanya naye sana mazoezi nitakuwa namkumbusha wakati huu na nitakuwa namfuatilia, amekwenda timu ambayo ina presha kidogo, kila mchezo inataka kushinda kwahiyo ajiweke tayari hata mimi presha hiyo ilinikuta nikiwa pale lakini niliziodisha juhudi sikukata tamaa.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.