Ronaldo Ashitakiwa kwa Kuvunja Sheria za Saudia
Mwanasheria wa Saudi Arabia ametoa wito wa kufukuzwa mchezaji wa Al Nassr Cristiano Ronaldo kufuatia kitendo kinachodaiwa kuwa si cha kimaadili katika nchi hiyo ya Kiislamu. Odds kubwa za soka …
Mechi ya Man City vs Leeds Utd Yarudishwa Nyuma
Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) imefanya mabadiliko ya muda wa kuoneshwa kwenye TV mchezo wa EPL kati ya Man City vs Leeds baada ya mechi hiyo kurudishwa nyuma. Odds kubwa …
Klopp Aunga Mkono Mradi wa Muda Mrefu Nunez Kufanikiwa Liver
Jurgen Klopp anasema Darwin Nunez ni mradi wa muda mrefu huko Liverpool na anasisitiza kuwa mshambuliaji huyo bado anazoea maisha na wekundu hao. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Uruguay, …
Arteta Awasifia Wachezaji Wake Baada ya Kupata Sare Mchezo wa Jana
Mikel Arteta amewasifu wachezaji wake wa Arsenal kwa kupambana na kupata sare ya 3-3 dhidi ya Southampton na anasema anawapenda zaidi wachezaji wake kuliko hapo awali. Arsenal walilazimishwa kupata …
Mitrovic na Silva Hawatakabiliwa na Adhabu Zaidi Huku Rufaa ya FA Ikikataliwa
Mshambuliaji wa Fulham Aleksandar Mitrovic na kocha mkuu Marco Silva hawataadhibiwa zaidi baada ya rufaa ya Chama cha Soka ya kurefusha kupigwa kwao marufuku kukataliwa. Mitrovic alifungiwa mechi nane …
Manchester United Yatupwa Nje Ligi ya Europa
Manchester United yatupwa nje kwenye michuano ya Europa baada ya kupigwa mabao 3-0 hapo jana dhidi ya Sevilla kwenye mchezo wa marudiano huku mechi ya kwanza walipokuwa Old Trafford walitoka …
Terzic: Dortmund Inakaribia Ubingwa wa Bundesliga Kuliko Hapo Awali
Kocha mkuu wa Borussia Dortmund, Edin Terzic anataka wachezaji wake kufaidika na nafasi yao katika mbio za ubingwa wa Bundesliga, akisema wako karibu zaidi kuliko hapo awali. Tangu Dortmund …
Enrique Abadili Mawazo Ampisha Nagelsmann Chelsea
Vyanzo vya karibu na Luis Enrique vinaamini kuwa Julian Nagelsmann ndiye anatazamiwa zaidi kupewa kibarua cha kuionoa Chelsea kwa mujibu wa talkSPORT. Odds kubwa za soka unazipata Meridianbet Kasino ya …
Bernardo Silva Haofii Real Madrid
STAA wa Manchester City Bernardo Silva amesema kwamba hawaiogopi Real Madrid na wana uhakika wana kuwafunga kwenye mchezo wa hatua ya nusu fainali UEFA Champions League. Odds kubwa za soka …
Simba: Malengo Yetu ni Nusu Fainali
Afisa habari wa klabu ya Simba SC Ahmed Ally amesema kuwa malengo ya klabu hiyo kwa msimu huu kwenye mashindano ya kimataifa ni kufika hatua ya nusu fainali Ligi ya …

