Stellini Aondoka Spurs Baada ya Kipigo cha 6-1 Dhidi ya Newcastle
Aliyekuwa kocha wa muda wa Tottenham Cristian Stellini ameondoka katika klabu hiyo kufuatia kichapo cha mabao 6-1 Jumapili dhidi ya Newcastle wakiwa ugenini. Muitaliano huyo alikuwa ameteuliwa hadi mwisho …
Camavinga Kusaini Kandarasi Mpya ndani ya Madrid
Taarifa zinaeleza kiungo wa klabu ya Real Madrid raia wa kimataifa wa Ufaransa Eduardo Camavinga anaandaliwa mkataba mpya ndani ya klabu hiyo ambao atausaini siku chache zijazo. Camavinga atasaini mkataba …
Newcastle Yafanya Mauaji Yaipiga Spurs Sita
Klabu ya Newcastle United imefanya mauaji makubwa katika mchezo wa ligi kuu ya Uingereza ambapo waliikaribisha klabu ya Tottenham Hotspurs na kuibamiza kwa mabao sita kwa moja. Newcastle walianza mchezo …
Yanga Yaibamiza Rivers Kwao
Klabu ya Yanga imefanikiwa kupata ushindi mbele ya Rivers United ya nchini Nigeria wakiwa ugenini kwenye mchezo wa hatua ya robo fainali wa kombe la shirikisho barani Afrika. Klabu ya …
Garnacho Arejea Mazoezini Man United
Kinda wa klabu ya Manchester United Alejandro Garnacho ameonekana kurejea mazoezi kwenye klabu hiyo baada kupata majeraha yaliyomuweka nje kwa wiki kadhaa klabuni hapo. Garnacho alionekana akiwa ameanza mazoezi ya …
Klopp Adai Liverpool Haina Uhusiano Wowote na Mbio za Nne-Bora
Kocha mkuu wa Liverpool Jurgen Klopp amesema kuwa timu yake haina uhusiano wowote na kinyang’anyiro cha nne bora kwenye Ligi kuu ya Uingereza kwa wakati huu. Liverpool waliishinda Nottingham …
Inter Miami ya Beckham Inamuamini Phil Neville
Meneja wa Inter Miami Phil Neville amesisitiza bado anaungwa mkono na mabosi wa timu hiyo akiwemo David Beckham, licha ya kupoteza mechi sita mfululizo. Odds kubwa za soka unazipata Meridianbet …
Bellingham Amesema Yupo Tayari Kutoa Kila Kitu Dortmund
Kiungo wa kati wa Borussia Dortmund Jude Bellingham ameapa kutoa kila kitu kabisa katika harakati za klabu hiyo kutwaa ubingwa wa Bundesliga. Kichapo cha mabao 4-0 walichokitoa kwa Eintracht …
Newcastle Dhidi ya Tottenham ni Vita ya Top Four
Klabu ya Newcastle United leo itashuka dimbani katika uwanja wake wa St.James Park ambapo wataikaribisha klabu ya Tottenham katika mchezo wa kuwania nafasi nne za juu katika ligi kuu ya …
Pigo Jingine kwa Man Utd, Varane Nje Msimu Mzima
Manchester United huenda ikawa imepigwa na kitu kizito kutoka kwa beki wao tegemezi Raphael Varane akikosa msimu uliosalia kutokana na jeraha huku ‘hofu ikizidi’ kuhusu tatizo lake la kifundo cha …

