Yanga Kuwafuata Rivers Utd Kesho
Kikosi cha Yanga kitasafiri kesho kuelekea Nigeria kwaajili ya kuvaana na Rivers United tarehe 23/04/2023, huo ni mchezo wa kwanza hatua ya robo fainali ya kombe la Shirikisho barani Afrika. …
Erling Haaland Kuongeza Mkataba Man City
Mshambuliajia hatari na tishio kwa sasa Erling Haaland anaweza kupatiwa mkataba mpya Man City baada ya mwaka mmoja tu wa kuitumikia klabu hiyo. Odds kubwa za soka unazipata Meridianbet Kasino …
Didier Drogba Ampasua Bosi wa Chelsea
Gwiji wa Chelsea Didier Drogba amewashutumu wamiliki wa sasa wa klabu hiyo kwa kukosa daraja na kusisitiza kuwa ‘haitambui’ Chelsea tena. Odds kubwa za soka unazipata Meridianbet Kasino ya mtandaoni, …
Pep Athibitisha Foden Kuwamaliza Bayern
Kocha wa Manchester City Pep Guardiola amefichua kuwa Phil Foden atarejea kwenye kikosi cha Manchester City dhidi ya Bayern Munich. Odds kubwa za soka unazipata Meridianbet Kasino ya mtandaoni, sloti, …
Frank Lampard Achafua Hali ya Hewa Chelsea
Unaweza kusema kocha wa mpito wa Chelsea Frank Lampard ni kama amekosa bahati tangu arejeshwe kukinoa kikosi hicho. Odds kubwa za soka unazipata Meridianbet Kasino ya mtandaoni, sloti, Poker, Aviator …
Kasino ya Mtandaoni Kutoa Tsh 650m
Meridianbet Kasino ya mtandaoni inakupa mchongo wa kutusua mkwanja na kutimiza ndoto zako za kumiliki gari, nyumba na kutanua sehemu nyingi, yote hayo yanawezekana kupitia shindano jipya la Drops & …
Rodrygo, Ronaldo Ajaye Real Madrid
Kiungo mshambuliaji wa Real Madrid Rodrygo Silva de Goes akifahamika zaidi kwa jina lake moja la Rodrygo, mtoto wa mitaa ya Osasco Jiji la Sao Paul Brazil. Amekuwa na kiwango …
Mechi ya Simba vs Wydad Kuamuliwa na VAR
Ligi ya Mabingwa Afrika itaendelea tena Jumamosi hii, mechi kubwa ni Simba vs Wydad Casablanca inasubiriwa na wengi kuona kama Mnyama ataweza kumfunga bingwa mtetezi kama ambavyo alivyofanya mwaka 2003 …
Zanetti: Inzaghi Anajua Aivushe Inter Hatua ya Nusu Fainali
Javier Zanetti anasema kocha mkuu Simone Inzaghi anafahamu kuwa Inter MIlan lazima wakomeshe mdororo wao wa Serie A huku akipigania kuweka kibarua chake. Presha iliongezeka kwa Inzaghi wakati Nerazzurri …
Glazer Wanaamini Wataendelea Kubaki United
Familia ya Glazer ambayo ndio wamiliki wa klabu ya Manchester United inaelezwa wana matumaini makubwa kua klabu hiyo itaendelea kua chini yao na sio kuiuza klabu hiyo kwa wamiliki wengine. …

