Bosi wa Chelsea Todd Boehly Ashambuliwa na Mashabiki
Mashabiki wa Chelsea waliokuwa na hasira walionekana kumzonga bosi wa klabu hiyo Todd Boehly katika dimba la Stamford Bridge baada ya timu yake kushindwa tena. Odds kubwa za soka unazipata …
Galtier Alalimikia Nafasi Walizokosa PSG Licha ya Kupata Ushindi
Kocha mkuu wa PSG, Christophe Galtier alihisi timu yake wangeweza kupata ushindi mkubwa zaidi baada ya Kylian Mbappe kuweka historia ya Ligue 1 katika ushindi wao wa 3-1 dhidi ya …
Simba Kupewa Mil 300 Kuifunga Yanga
Usiku wa deni haukawii kukucha unaweza kusema, ni Jumapili nzuri sana ni Sikukuu kwa wapenda Soka, wapenzi wa Simba na Yanga leo watakutana kwenye dimba la Mkapa katika Kariakoo Derby. …
Osimhen Ataanza Mechi ya Jumanne ya Ligi ya Mabingwa Dhidi Ya Milan
Luciano Spalletti amethibitisha kuwa Victor Osimhen ataanza mechi ya Jumanne ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya AC Milan baada ya nyota huyo wa Napoli ambaye yuko fiti tena kukanushwa na …
Guardiola Ashukuru Juhudi Kubwa za City kwa Kumfanya Haaland Kuwa Fiti
Pep Guardiola anaamini kuwa Manchester City wamepata mafanikio “ya ajabu” katika kumweka Erling Haaland kuwa fiti, akidai kujiondoa kwake mara kwa mara kwa mshambuliaji huyo kumekubalika. Haaland alipata majeraha …
Manchester United Yaandamwa na Mzimu wa Majeruhi
Klabu ya Manchester United imeanza kuandamwa na mzimu wa majeraha kwani jana katika mchezo wa kombe la Uefa Erupa League hatua ya robo fainali beki Lisandro Martinez na Raphael Varane …
Ten Hag Ajitetea Baada ya Suluhu Nyumbani
Kocha wa klabu ya Manchester United Erik Ten Hag amejitetea baada ya kupata suluhu nyumbani katika mchezo wa robo fainali ya kombe la Europe League uliopigwa katika dimba lao la …
Ancelotti Anasema kuwa Hawezi Kubadilishana Vini na Haaland
Carlo Ancelotti ansema kuwa asingebadilishana Vinicius Junior kwa Erling Haaland, huku wawili hao wakionekana kuwa na uwezekano wa kuchuana katika nusu-fainali ya Ligi ya Mabingwa. Manchester City na Real …
Allegri: Soka si Mlinganyo wa Hisabati’
Kocha mkuu wa Juventus Massimiliano Allegri ameeleza kwa nini shambulizi la tatu la Juventus halikufaulu dhidi ya Sporting CP na kumruhusu Leandro Paredes asitokee kwenye mabadilishano hayo akisema kuwa ‘Kandanda …
Ancelotti: Nina Imani Nitakuwepo Madrid Msimu Ujao
Kocha wa klabu ya Real Madrid Carlo Ancelotti amesema kua ana matumaini makubwa ataendelea kuinoa klabu hiyo kwa msimu ujao kwakua anaamini rais wa klabu hiyo Florentino Perez anataka aendelee …

