Sakata la Feisal Lapigwa Tarehe Tena
Sakata la mchezaji wa klabu ya Yanga Feisal Salum ambaye aliomba kuondoka ndani ya klabu hiyo limepigwa tarehe tena na kamati ya sheria na hadhi za wachezaji kupitia shirikisho la …
Bayern Munich Yalaani Ubaguzi kwa Upamecano
Klabu ya Fc Bayern Munich imeripotiwa kulaani kitendo cha beki wake raia wa kimataifa wa Ufaransa Dayot Upamecano kufanyiwa vitendo vya kibaguzi baada ya mchezo wa ligi ya mabingwa ulaya …
Tuchel: Anategemea Maajabu Mchezo wa Pili
Kocha wa klabu ya Fc Bayern Munich Thomas Tuchel amesema ana matumaini ya kupindua meza katika mchezo wa pili wa ligi ya mabingwa ulaya dhidi ya Manchester City baada ya …
Simba Watamba Kuifunga Yanga Jumapili
Ikiwa zimesalia siku 4 tu Dar Es Salaam na Tanzania kwa ujumla kusimama na kupisha vita ya wanaume wawili wa mitaa ya Kariakoo Simba SC vs Yanga SC, ni Aprili …
Odds kubwa Meridianbet Ligi ya Mabingwa
Jisajili Meridianbet leo upate mizunguko 50 ya bure kucheza moja ya mchezo uupendao ya kasino ya mtandaoni kuna Aviator, Poker, Titan Roulette na mingine mingi. Kujisajili bonyeza hapa https://a.meridianbet.co.tz/c/LhBzKc Zilianza …
Marcus Rashford Kuikosa Sevilla, Ten Hag Ataja Wengine
Kocha mkuu wa Manchester United Erik ten Hag amewaondoa Marcus Rashford na Luke Shaw kwenye kikosi kitakacho cheza Alhamisi ya robo fainali-Ligi ya Europa dhidi ya Sevilla. Odds kubwa za …
Zinedine Zidane Ahitajika Chelsea
Chelsea wamekuwa wakihusishwa na kocha mkuu wa zamani wa Real Madrid Zinadine Zidane kama mbadala wa Graham Potter aliyetimuliwa kwa matokeo mabaya ya The Blues, lakini mabosi wa timu hiyo …
KMC Yajipanga Zaidi Kusalia Ligi Kuu
Klabu ya KMC FC ipo kwenye nafasi mbaya ya kushuka daraja kama itapoteza michezo yake minne iliyosalia ya Ligi kuu, baada ya kupoteza mchezo wake dhidi ya Geita Gold kwa …
Yanga Kumkaribisha Kagera Sugar Kwa Mkapa Leo
Mechi nyingine ya ligi kuu hii leo itapigwa majira ya saa 1:00 usiku katika dimba la Benjamin Mkapa ambapo mabingwa watetezi wa ligi Yanga watamenyana dhidi ya Kagera Sugar. …
Carragher: “Hakuna Beki wa Kati Katika Enzi za Ligi Kuu wa Kulinganishwa na Van Dijk
Virgil van Dijk huenda alitatizika kwa Liverpool msimu huu lakini Jamie Carragher anasema hakuna beki wa kati katika Ligi kuu ya Uingereza ambaye amewahi kuwa na athari kubwa kwa timu …

