No Chama, No Saidoo Simba SC vs Ihefu
SOKA LA BONGO

Kikosi cha Simba SC kinachoanza leo dhidi ya Ihefu kimetoka lakini habari ya kushangaza zaidi ni kukosekana kwa wachezaji tegemezi wa kikosi cha kwanza.   Wachezaji hao ni Clatous Chama, …

Soma zaidi
Simba Ugenini Leo Dhidi ya Ihefu
SOKA LA BONGO

Ligi kuu ya NBC Tanzania Bara inaendeea hii leo kwa mchezo mmoja ambapo klabu ya Simba watakuwa ugenini kumenyana dhidi ya Ihefu majira ya saa 10:00 jioni katika dimba la …

Soma zaidi
Son Alihisi Presha Zaidi Baada ya Kushinda Kiatu cha Dhahabu
Daily News

Nyota wa Tottenham Heung-Min Son amekiri kuhisi presha na umakini zaidi baada ya kushinda Kiatu cha Dhahabu cha ligi kuu ya Uingereza msimu uliopita.   Son aliifungia Spurs mabao 23 …

Soma zaidi
Spurs Wameingia kwenye Kinyang’anyiro Kumnunua Ziyech Baada ya Bei Kupunguzwa
Daily News

Tottenham Spurs wako mbioni kumsajili winga wa Chelsea Hakim Ziyech msimu huu wa joto baada ya bei ya mchezaji huyo kupunguzwa.   Ziyech hana nafasi Stamford Bridge, hajaichezea The Blues …

Soma zaidi
Lampard Bado Ana Imani na Raheem Sterling
Daily News

Frank Lampard amemuunga mkono nyota wa Chelsea Raheem Sterling kuthibitisha kuwa bado ni mmoja wa wachezaji bora zaidi duniani kabla ya pambano lao dhidi ya Real Madrid.   Mshambuliaji huyo …

Soma zaidi
Xavi: Busquets Anaweza Kuondoka Barca Akiwa na Taji la Laliga
La Liga

Kocha mkuu wa Barcelona Xavi anakubali Sergio Busquets anaweza kuamua kumalizia soka lake la Barcelona kwa kiwango cha juu mwishoni mwa msimu huu, ingawa kocha huyo wa Blaugrana ana matumaini …

Soma zaidi
Mwamuzi Msaidizi Kuchunguzwa kwa Madai ya Kumpiga Kiwiko Robertson
Daily News

Bodi ya wasimamizi wa mechi ya ligi kuu ya Uingereza itachunguza baada ya mwamuzi msaidizi kuonekana kumpiga kiwiko Andy Robertson wa Liverpool wakati wa sare ya jana dhidi ya Arsenal. …

Soma zaidi
Arteta Amsifia Ramsdale Baada ya Kuipatia Arsenal Droo Anfield
Daily News

Kocha mkuu wa Arsenal Mikel Arteta amemsifu Aaron Ramsdale kwa kuokoa mipira mingi ambayo ilikuwa ikienda langoni kwao na kuifanya Arsenal kuwa na matumaini katika mbio za ubingwa wa Ligi …

Soma zaidi
Arsenal na Liverpool Ngoma Droo
Daily News

Klabu ya Arsenal na Liverpool wametoka sare katika mchezo wa ligi kuu ya Uingereza uliozikutanisha timu hizo na kila timu kufanikiwa kuondoka na alama moja katoka dimba la Anfield. Klabu …

Soma zaidi
Crystal Palace Yaisambaratisha Leeds United
Daily News

Klabu ya Crystal Palace imefanikiwa kuishangaza klabu ya Leeds United baada ya kuifunga kwa mabao matano kwa moja katika mchezo wa ligi kuu ya Uingereza uliopigwa katika dimba la Elland …

Soma zaidi
1 2 3 533 534 535 536 537 538 539 2,271 2,272 2,273
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.