Mane Asimamishwa Bayern
Mchezaji wa klabu ya Bayern Munich raia wa kimataifa wa Senegal Sadio Mane amesimamishwa kuendelea kuitumikia klabu hiyo baada ya tukio lake la kumshambulia mchezaji mwenzake ndani ya timu hiyo …
Thuram Akaribia Kondoka Huku Gladbach Ikithibitisha kuwa Anaondoka
Marcus Thuram ataondoka Borussia Monchengladbach kama mchezaji huru mwishoni mwa msimu huu baada ya klabu hiyo ya Bundesliga kukata tamaa ya kumbakisha mshambuliaji huyo wa Ufaransa. Mchezaji huyo mwenye …
Ryan Kutoka Bayern Anawindwa na Vilabu Kutoka Uingereza
Vigogo wa Ligi Kuu ya Uingereza Manchester United, Liverpool na Arsenal wote wanamfuatilia kiungo wa Bayern Munich Ryan Gravenberch. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Uholanzi alijiunga kutoka Ajax msimu …
Mac Allister Kuondoka Brighton United, Chelsea, Liverpool Zatajwa
Kiungo wa klabu ya Brighton hove and Albion na timu ya taifa ya Argentina Alex Mac Allister anatarajiwa kuondoka klabuni hapo huku vigogo mbalimbali wakitajwa kuvizia saini yake kama Liverpool, …
Courtois Akiri Kuwa Madrid Imechoshwa na Kushindwa Kuifunga Chelsea Mabao Mengi
Golikipa wa Real Madrid Thibaut Courtois amekiri kuwa Real Madrid iliachwa “imeathirika” na kushindwa kuitia Chelsea upanga katika ushindi wao wa Ligi ya Mabingwa hapo jana. Los Blancos walipata …
Spalletti: Osimhen Kuwepo Mchezo wa Pili
Kocha wa klabu ya Luciano Spalletti amesema kua mshambuliaji wake matata raia wa kimataifa wa Nigeria Victor Osimhen atarejea katika mchezo wa pili wa ligi ya mabingwa barani ulaya dhidi …
Bayern Wanakabiliwa na Mzozo Baada ya Madai Kwamba Mane Alimpiga Mchezaji Mwenzake Sane
Kichapo cha 3-0 cha Bayern Munich dhidi ya Manchester City kilikuwa kibaya vya kutosha, lakini imechangiwa na madai kwamba Sadio Mane alimwacha mchezaji mwenzake Leroy Sane akiwa na butwaa baada …
Fofana Anasisitiza Kuwa Ndoto ya Chelsea Kwenye Ligi ya Mabingwa Haijaisha
Wesley Fofana anakataa kukubali ndoto ya Chelsea ya Ligi ya Mabingwa ni kama imekwisha baada ya kutandikwa hapo jana wakiwa ugenini. The Blues ya Frank Lampard iliteleza kwa mabao …
Mbappe: Mimi ni Mfaransa na Ninataka Kushinda Ligi ya Mabingwa Huko PSG
Kylian Mbappe alikanusha uwezekano wa kuachana mapema na kandarasi yake ya Paris Saint-Germain kwa kutangaza kuwa bado anataka kushinda Ligi ya Mabingwa akiwa na klabu yake ya jiji la nyumbani. …
Vinicius Mchezaji Bora Hapo Jana Baada ya Ushindi Dhidi ya Chelsea
Vinicius Junior amesifu onyesho la Real Madrid dhidi ya Chelsea hapo jana kama moja ya ubora wao msimu huu huku mabingwa watetezi wa Ligi ya Mabingwa wakipata faida ya mabao …

