Osimhen Kuikosa Safari ya Napoli ya Ligi ya Mabingwa Dhidi ya Milan
Victor Osimhen ameondolewa katika safari ya Napoli ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya AC Milan kesho huku likiwa ni pigo kubwa kwa Partenopei. Mshambuliaji huyo hajawachezea vinara hao wa …
City Kumuachia Phillips Kwenda Aston Villa
Aston Villa wako tayari kumpa Kalvin Phillips njia ya kutoka katika klabu ya ndoto yake Manchester City baada ya mchezaji huyo kutopata namba mara kwa mara klabuni hapo. Kuwasili …
KMC Kukiwasha Dhidi ya Geita Gold Leo Hii
Ligi kuu ya NBC Tanzania Bara inaendelea hii leo kwa michezo miwili ambapo mchezo wa mapema kabisa ni kati ya KMC dhidi ya Geita Gold ambao wana maendeleao mazuri kwenye …
Inzaghi Awataka Inter Watumie ‘Vichwa na Mioyo’ Yao Dhidi ya Benfica
Kocha mkuu wa Inter Simone Inzaghi anajua kuwa lazima watumie “vichwa na mioyo yao” dhidi ya Benfica wawili hao watakapokutana katika robo fainali ya Ligi ya Mabingwa leo hii. …
Tuchel: City ya Pep Ndio Wana Kiwango cha Juu Kabisa cha Soka Barani Ulaya
Thomas Tuchel amesema kuwa timu ya Manchester City inayonolewa na Pep Guardiola inatoa kiwango cha juu zaidi cha soka barani Ulaya. Timu hiyo ya Bavaria itasafiri hadi Uwanja wa …
Barcelona Yabaki na Matumaini ya Ubingwa, Huku Xavi Akilalamikia Kukosa Nafasi Jana
Xavi Hernandez amekiri kuwa Barcelona wako katika “hali nzuri sana” kwenye kilele cha LaLiga lakini aliumia saba hapo jana baada ya timu yake kukosa nafasi za mabao dhidi ya Girona …
Ancelotti Hataki Kuhusihwa na Chelsea na Brazil Huku Akiwa Bado Madrid
Carlo Ancelotti hatakuwa na uhusiano wa kutaka kuhamia Chelsea au Brazil wakati yeye ni kocha mkuu wa Real Madrid kutokana na “heshima” ya klabu hiyo ya LaLiga. Muitaliano huyo …
Smith Ateuliwa Kuwa Kocha wa Leicester Hadi Mwisho wa Msimu
Leicester wamethibitisha kumteua Dean Smith kama kocha wao wa muda hadi mwisho wa msimu huu. Smith mwenye miaka 52, amefurahia muda wa kuinoa Brentford, Aston Villa na Norwich na …
Osimhen Hatiani Kuikosa AC Milan Hapo Kesho Baada ya Kupata Majeraha
Habari za kukatisha tamaa zimeibuka kutoka kwenye mazoezi ya Napoli leo, ambapo Victor Osimhen aliendelea kufanya mazoezi ili apone haraka baada ya jeraha ambalo alilipata. Mshambuliaji huyo wa Kinigeria …
Hernandez Amerejea Mazoezini Baada ya Kuumia Kwenye WC
Lucas Hernandez amerejea kwenye mazoezi ya Bayern Munich siku ya leo kwa mara ya kwanza tangu alipoumia kwenye Kombe la Dunia. Beki huyo mahiri aliumia mapema katika mechi ya …

