Valverde Aripotiwa Kumpiga Mchezaji wa Villarreal
Kiungo wa klabu ya Real Madrid na timu ya taifa ya Uruguay Federico Valverde ameripotiwa kumpiga mchezaji wa klabu ya Villarreal baada ya mchezo uliozikutanisha timu hizo katika dimba la …
Milan Wanamtamani Nyota wa Lille David
Milan wanajua kwamba uimarishaji mkali unahitajika kwenye mstari wao wa mbele na wameripotiwa kumfanya Jonathan David wa Lille kuwa mmoja wa walengwa wao wakuu. The Rossoneri wamekubali kusaini mkataba …
Shearer Anaamini Haaland Anaweza Kufikisha Jumla ya Mabao 60
Alan Shearer anasema mshambuliaji wa Manchester City Erling Haaland “anayetisha” anaweza kufikisha mabao 60 kwa msimu huu baada ya kufunga rekodi ya nyota huyo wa Newcastle United kwenye Ligi Kuu …
Mudryk: Upweke Ndani ya Chelsea | Afikiria Kuishi na Familia Yake
Mykhailo Mudryk tayari anapanga kufanya mabadiliko ya mtindo wa maisha ili aendelee kudumu Chelsea na kuwa na kiwango bora kwa siku zijazo. Odds kubwa za soka unazipata Meridianbet Kasino ya …
Klopp: Ninawajibika kwa Asilimia 100 kwa Msimu wa Hovyo wa Liverpool
Kocha mkuu wa Liverpool Jurgen Klopp amesema kuwa asilimia 100 anawajibika kwa hali ya timu yake lakini ana uhakika klabu hiyo inaweza kustahimili msimu wao mgumu kwa njia ya hali …
Besiktas Wamrudisha Dele Alli Everton
Dele Alli amerejea Everton siku ya Jumamosi baada ya kupata jeraha huko Besiktas. Odds kubwa za soka unazipata Meridianbet Kasino ya mtandaoni, sloti, Poker, Aviator na Roulette- Chagua Tukupe. …
Marquinhos Yupo kwenye Mazungumzo na PSG Kuhusu Kuongeza Mkataba Mpya
Marquinhos anatarajia kuichezea Paris Saint-Germain mara 200 baada ya kuthibitisha kuwa yuko kwenye mazungumzo ya juu na wababe hao wa Ligue 1 kuhusu kandarasi mpya. Beki huyo wa kati …
Liverpool Kuishangaza Arsenal Leo?
Klabu ya Liverpool leo watashuka dimbani kumenyana na klabu ya Arsenal katika mchezo wa ligi kuu ya Uingereza huku majogoo hao wa Anfield wakiwa katika dimba lao la nyumbani na …
United Wanataka Pauni Milioni 50 kwa Wanaotaka Kumnunua McTominay
Manchester United itadai pauni milioni 50 ikiwa Newcastle wataendelea na harakati zao za kumtaka Scott McTominay. Nyota huyo wa Scotland mwenye miaka 23, alibeba kiwango chake kizuri kutoka kwa …
Odds kubwa Meridianbet Liverpool vs Arsenal
Jisajili na Meridianbet upate mizunguko 50 ya bure kucheza moja ya mchezo unaopenda wa kasino ya mtandaoni ya Meridianbet. https://a.meridianbet.co.tz/c/TRqTCA Pasaka haikamiliki kama hujatandika jamvi lako lenye odds kubwa za …

