Nathan Ake Kuikosa Arsenal
Daily News

Beki wa klabu ya Manchester City na timu ya taifa ya Uholanzi Nathan Ake kuukosa mchezo wa leo wa ligi kuu ya Uingereza kati yao na vinara wa ligi hiyo …

Soma zaidi
Manchester City Vs Arsenal ni Vita ya Ubingwa Pale Etihad leo
Daily News

Manchester City watakua nyumbani leo katika leo la Etihad wakiwakaribisha klabu ya Arsenal vinara wa ligi kuu ya Uingereza katika mchezo wa utakaotoa taswira ya ubingwa wa ligi hiyo. Manchester …

Soma zaidi
Reece James Huenda Akaukosa Msimu Uliobakia
Daily News

Beki wa kulia wa klabu ya Chelsea Reece James raia wa kimataifa wa Uingereza huenda akaukosa msimu uliobakia ndani ya klabu hiyo kutokana na majeraha ya misuli ya paja aliyoipata. …

Soma zaidi
Barcelona Wamepata Ufadhili wa Ukarabati wa Camp Nou
La Liga

Barcelona hatimaye wamepata ufadhili wa kuirejesha Camp Nou na maeneo jirani. Klabu hiyo hapo awali ilitangaza mipango ya ukarabati mwaka 2014 lakini matatizo mengi tangu wakati huo yamesababisha sehemu ndogo …

Soma zaidi
Hodgson: “Palace Bado Wanapambana Kutoshuka Daraja”
Daily News

Roy Hodgson anadai Crystal Palace imesalia kwenye pambano la kushushwa daraja lakini kazi inayowakabili si kubwa sana baada ya kuambulia pointi 10 katika mechi nne zilizopita.   Palace walishinda mechi …

Soma zaidi
PSG Itavunja Kibubu Kumpata Osimhen
Daily News

PSG wako tayari kutoa ofa ambayo wana uhakika Napoli hawawezi kukataa kwa ajili ya kumpata mchezaji huyo wa Nigeria Victor Osimhen.   Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 24 ni …

Soma zaidi
Manchester United Wako Tayari Kuongeza Kasi ya Kumhitaji Kane
Daily News

Manchester United wako tayari kuongeza juhudi zao za kumsajili nyota wa Tottenham Harry Kane.   Gazeti la Telegraph linadai kuwa Mashetani Wekundu wanapanga kuwasilisha ombi la kumnunua nahodha huyo wa …

Soma zaidi
Kovacic Ahusishwa na Man City na Bayern
Daily News

Mateo Kovacic anahisi yupo nyumbani huko Chelsea huku kukiwa na maoni kwamba Mkroatia huyo anaweza kulengwa na Manchester City na Bayern Munich mwishoni mwa msimu.   Kovacic anakaribia miezi 12 …

Soma zaidi
Simba Yaifuata Wydad Casablanca Kwao
SOKA LA BONGO

Klabu ya Simba imeifuata Wydad Casablanca kwaajili ya mchezo wao wa marudiano wa Kombe la Klabu Bingwa Afrika baada ya mnyama kupata ushindi mechi ya kwanza wakiwa kwa Mkapa.   …

Soma zaidi
Yanga Yatua Dar Kibabe Kutoka Nigeria
SOKA LA BONGO

Klabu ya Yanga ambayo ipo chini ya kocha Nasredine Nabi imetua Dar kibabe kutoka Nigeria baada ya kumtungua Rivers United mabao 2-0 katika hatua ya robo fainali ya kombe la …

Soma zaidi
1 2 3 523 524 525 526 527 528 529 2,271 2,272 2,273
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.