Asisti za Chama Ligi Kuu 2022/23

Miongoni mwa Wachezaji wenye mchango mkubwa kwa sasa pale Simba ni Chama Mwamba wa Lusaka, na ukitaka kugombana na mashabiki wa Lunyasi mguse Mwamba wa Lusaka hawataki kabisa kusikia chochote. Odds kubwa za soka unazipata Meridianbet.

 

chama

Sasa huenda ukawa unajiuliza mpaka sasa Chama ana Asisti ngapi za Ligi kuu, na ni mchezaji gani anaongoza kwa asisiti msimu huu wa 2022/23, ORADHA YA WACHEZAJI WENYE asisti nyingi ni hii hapa.

1: Clatous Chama (Mwamba wa Lusaka) – Simba SC = 14
2: Ayoub Lyanga – Azam FC = 7
3: Saido Ntibanzonkiza (Father of Bujumbura) – Simba = 7
4: Sixtus Sabilo – Mbeya City = 6
5: Mohamed Hussein (Zimbwe jr) – Simba SC = 5
6: Ally Ramadhani – Kagera Sugar = 4
7: Nicolas Gyan – Singida Big Stars = 4
8: Joyce Lomalisa – Yanga SC = 3
9: Ismail Mhesa – Mtibwa Sugar = 3
10: Joseph Mahundi – Ihefu =2
11: Salum Abubakar (Sure Boy) – Yanga SC = 2

Chama pamoja na Saidoo Ntibazonkiza wamehusika kwenye jumla ya magoli 35 ya Ligi kuu, kwahiyo hapa utaona kabisa mgodi wa mabao upo Simba SC. Ukiwa na meridianbet unaweza kubashiri mubashara, tembelea maduka ya meridianbet uweze kubashiri.

 

simba

Unadhani ni mchezaji gani atakuwa kinara wa hii orodha mpaka msimu ukiisha, zikiwa zimebaki mechi 8 tu mpaka sasa? Beti na Meridianbet mechi za ligi zote, odds ni kubwa sana, Usikose hii!!

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.