Coastal Union Wapata Kocha Mpya

BAADA ya kuachana na kocha Mwinyi Zahera Klabu ya Coastal Union imetangaza ujio wa Kocha mpya David Ouma atakayeinoa klabu hiyo.

Uongozi wa klabu ya Coastal Union kupitia kwa msemaji wao Abbas Mwamba alisema: “Karibu sana mwalimu wa viwango, mwalimu wa mafanikio, mwalimu wa technics, ubora wa elimu na kiwango chako ndio tunajivunia. Experience kutoka kituo Cha Ajax Amsterdam,Leseni ya UEFA, Leseni CAF A.

“Kocha msaidizi timu taifa ya Kenya chini Bobby WilliamsUmelitawala soka kenya kwa zaidi ya miaka 21 kupitia,pasta rangers,sofapaka, na legend wa madare utd”

“Karibu sana coach wa mafanikio. Wanamangushi Wana Imani kubwa sana na wewe” Kiongozi wa Coastal Union akimkaribisha kocha huyo

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.