Mkoko Aizamisha KMC

Klabu ya KMC imepoteza mchezo wa leo kwa bao 3-1 mchezo uliochezwa kwenye uwanja wa Uhuru Jijini Dsm, na kuwafanya KMC kupoyeza alama tatu muhimu ambazo wangezipata zingewafanya kupanda nafasi za juu kwenye msimamo.

Magoli yote matatu ya Namungo yalifungwa na mchezaji mmoja, Ibrahim Mkoko mawili kipindi katika kipindi cha kwanza na moja katika dakika za lala salama.kmcKelvin Kijiri mnamo dakika 68 aliisawazishia KMC na kuwapa matumaini ya ushindi wakusanya ushuru wa Kinondoni, lakini dakika kadri zilivyozidi kwenda timu zote zilikuwa zikishambuliana kwa zamu na kuwafanya KMC kupoteza mchezo.

Matokeo haya yameifanya KMC kuwa nafasi ya 10 kwa alama 23, huku Namungo akiwa nafasi ya 5 na alama zake 26.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.