Golikipa wa Liverpool na timu ya taifa ya Brazil – Alisson Becker, amenukuliwa akisema timu yao ipo katika njia sahihi baada ya ushindi dhidi ya Chelsea wikiendi iliyopita.
Liverpool ambao waliutwaa ubingwa wa EPL msimu uliopita wakiwa na mechi 7 mkononi, walionekana kushuka kiwango katika mechi zao za mwisho. Vijana wa Jurgen Klopp waliambulia ushindi katika michezo 5 pekee kati ya 9 ya mwisho.
Akifanya mahojiano na Sky Sports, Alisson amesema, ” tunajua tulishuka kiasi fulani, hatufahamu kwanini.
“Sio kitu ambacho tulitaka kiwe vile lakini tulifahamu kama tunapaswa kurudi kwenye kiwango thabiti ili tuendelee kuwa washindani na kutetea taji. Tunafahamu msimu huu, ushindani utakuwa mkubwa zaidi.
“Ni mwanzo mwa msimu, tulikuwa na mchezo mgumu dhidi ya Leeds. Ulikuwa ni mchezo ambao chochote. Ulikuwa ni mchezo wa kuvutia kwe yeyote aliyeangalia lakini kwetu ulikuwa ni mchezo mgumu.
“Baada ya mchezo ule, tuliwafata Chelsea, ni wapinzani wagumu na tulihitaji utulivu wa akili zaidi. Nilipendezwa na changamoto tuliyokutana nayo, tulijitahidi kujilinda na kutumia nafasi tulizozipata.
“Lakini nilichokipenda zaidi ni mtizamo wetu kwenye ule mchezo, tupo kwenye njia sahihi.”
Liverpool watakuwa uwanjani wikiendi hii kuwakaribisha Arsenal. Alisson anatarajia kuendelea kuwa golini kupambana na mashambulizi ya Arsenal.
FURAHIA KASINO YA MTANDAONI
Tembelea ardhi ya maajabu ushangazwe na mengi ikiwa ni pamoja na urahisi wa kujipatia utajiri kupitia Kasino ya Meridianbet.


Adelta
Liverpool wako vizuri kwa sasa
aisha
Timu ya kloop hainaga kazi mbaya kama anavyosema Alisson ni kweli liverpool iko kwenye njia sahihi
Shafii
Mchezo zidi ya Chelsea walistahili ushindi kwani wapinzani wao walikua wako pungufu.
Sadick
Liverpool itakutana na ushindani usio wa kawaida msimu huu. Alisson ameleta utulivu langoni mwa Liverpool#meridianbettz
Saupha mohamed
Livpool IPO viziri
farida ahmadi
Liverpool imejipanga vizuri Sana msimu huu
Mwajumah
Liverpool watakutana na ushindani usio wa kawaida msimu huu
Tatu
Safu ya liverpool ipo vizuri na wamejipanga vizuri kwenye mchezo unaofuata zidi ya arsenal
Khadija
Livepool naikubali
Agness
Liverpool wapo vizuri
Fatina
Liverpool mmejipanga vizur ila cc mashabiki wenu tunaitaji matokeo
Venerose
Liverpool wamejipanga vinzur
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri Kama anakiona icho Liverpool amejipanga kisawa sawa
Zeiyana
Liverpool wajipange haswa arsenal sasa hipo vizuri sana inawalinzi wa kutosha wa kutetea mlango wao
Shani
Liverpool ina tisha sana
Hopemwaikuka
Liver now wako vzur had raha
Caroline
Allison atawakomesha
Elika
Safi saaana
Hidaya
Liverpool ya sasa sio kama ya zamani
Amiri Kayera
Kwer ni mwanzo mzur
Nasra
Liverpool level nyingine
Gabriel
Alisson ni kweli liverpool iko kwenye njia sahihi
lombo
true
Rehema
Nice
Ernest
Alissson anafurahia Ufalme ndani ya Liverpool
Issa
Liver itatisha msimu huu
Flomena
Good news
Fatuma kasomo
Gud news
Samiah
Gud news
Neema
Liverpool wako vizuri mno
Latifa juma mohamed
Liverpool wapo vzr acha watuonyooshe.
David Pere
Mchezo zidi ya Chelsea walistahili ushindi kwani wapinzani wao walikua wako pungufu.
Sauda
Liverpool wamejipanga
felister
klopp hanaga kazi mbovu
Rose kapinga
Kujiamini kunasaidia pia!!!
Sabrina
Kabisa yani
Theckla
Liverpool wako vizuri
magdalena
klopp kikosi chake anajua kukipanga vizuri sana
Povel
Liverpool Wana jambo lao msimu huu
Dorophina
Liverpool wapo vizuri msimu huu lazima kieleweke