Andrew Robertson Kukosa Mchezo Dhidi ya Chelsea

Mlinzi wa kushoto wa klabu ya Liverpool Andrew Robertson ataukosa mchezo wa tarehe 2 January wa ligi kuu ya Uingereza dhidi ya Chelsea baada ya mchezo wao wa Boxing day dhidi ya Leeds kuahirishwa.

Robertson anaitumikia adhabu ya kukosa michezo mitatu kufuatiwa kuonyeshewa kadi nyekundu ya moja kwa moja kwenye mchezo dhidi ya Tottenham wikiendi iliyopita, pia atakosa mchezo wa Carabao Cup dhidi ya Leicester.

Andrew Robertson
Andrew Robertson

Kukosekana kwake nafasi yake itachukuliwa na Kostas Tsimikas ndiyo atakeyeziba pengo lake, Tsimikas amecheza michezo 13 tu msimu huu mpaka sasa ikijumuisha michezo mitatu aliyoanza, pia lionyesha kiwango cha kuvutia alipochukua nafasi ya Robertson pale alipokuwa majeruhi.

Ingawa mchezo dhidi ya Leeds umahairisha mpaka hapo tarehe itakapopangwa tena kutokana na mlipuko wa Uviko-19 lakini bado Andrew Robertson hatakuwepo kwenye safari ambayo majogoo watasafiri kwenda darajani kutafuta pointi tatu.


KUWA BINGWA MSIMU HUU WA SIKUKUU NA OCEAN CALL

Nani hapendi kuwa bingwa na kujishindia mkwanja wa kusahato kuelekea katika sikukuu wiki hii. Mchezo wa Ocean Call kutoka kasino maridhawa za meridianbettz unakupa kila sababu ya kuifanya siku kuu yako kuwa ya kuvutia zaidi.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

 

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.