Aubameyang Awaonya Makinda Arsenal.


 

Kapteni wa Arsenal, Pierre-emerick Aubameyang amewaonya wachezaji makinda wa klabu hiyo wanapaswa kuwa wavumilivu na kujitolea katika kipindi hichi.

Arsenal ipo katika wakati mgumu na pressure kubwa ya kimatokeo kwa wakati huu ni vema kupewa nafasi wachezaji wazoefu kama Xhaka , Willian na wengineo ili kuiokoa klabu hiyo kutoka eneo la hatari.

 

Aubameyang Awaonya Makinda Arsenal.

Aubameyang anasema anakumbuka yeye akiwa Ac Milan nafasi walikuwa wanapewa wazoefu halafu wao vijana wanapewa kidogokidogo ili kupewa uzoefu sio kuwa tegemeo moja kwa moja.

Mchezaji huyo amewataka makinda wa timu hiyo kuwa wavumilivu kwa wakati huu timu inahitaji matokeo zaidi. Kuelekea mchezo wa leo dhidi ya Chelsea Aubameyang anaweza kukosekana kutokana na majeraha.

 


VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!

Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia mchezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini???

SOMA ZAIDI

16 Komentara

    Hali mbaya sana kwa Arsenal

    Jibu

    Jambo jema.

    Jibu

    Hii aiko poa kwa arsenal

    Jibu

    Ooh vizuri san

    Jibu

    Areteta ajipang ubingwa

    Jibu

    Jambo zuri

    Jibu

    Jambo zuri

    Jibu

    Ni kwel asemayo Auba

    Jibu

    Jambo zuri

    Jibu

    Jambo zuri

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Jambo zuri

    Jibu

    Hali ni tata

    Jibu

    Jambo jema

    Jibu

    Utulivu unasaidia

    Jibu

    Ukiwa mpole utayaona usio yajua

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.