Man United wanaripotiwa kuwa na uwezekano wa kutemana na mpango wa uhamisho wa beki wa Bayern Munich David Alaba mwezi Januari.
Nyota huyu amesalia na miezi sita tu kwenye mkataba wa wa sasa na nyota huyu wa Austria sasa anaweza kufanya mazungumzo rasmi na vilabu vya kigeni kuanzia mwezi ujao.
Man United, pamoja na vilabu vingine kadhaa vikubwa Ulaya vimehusishwa sana na uhamisho wa mchezaji huyo wa miaka 28.

Kwa mujibuwa wa Telegraph, Ole Gunnar Solskjaer anapinga mpango wa kufanya nyongeza yeyote kikosi katikati ya kampeni.
Msimamo huu wa United unaweza kuwapa faida wapinzani wake katika kuinasa saini ya staa huyu. Bila shaka anaweza kujikuta anakuwepo Allianz Stadium msimu wote au akashawishika kuhamia vilabu vingine.
Hata hivyo, Alaba bado ni shemu muhimu ya mabingwa hawa wa Ligi ya Mabingwa ya 2020, akiwa amecheza jumla ya mechi 18 kwenye mashindano yote tangu mwezi Septemba.
VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!
Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia mchezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini???



Salma ngende
Popote kambi
Shakila mrope
Ooh kila mtu anamgimbania david alaba
Issa
Atawakost united
Saupha mohamed
Dhuuu
Adelta
David Alaba Yuko vizuri
Sarah
Duuuh
Hopemwaikuka
Itakavyokua ndo hvyo hvyo
Tatu
Wafanye jitihada wamchukue
Lydia Emmanuel Magoti
Kijana yupo vizuri anajua
Mwanahamisi
Duuh
Fatuma kasomo
Nomaa
Rahmal
Atali
warda
Alaba yuko poa sana