Evander Apoteza kwa TKO.

 

Bondia wa ngumi za kulipwa Evander Holyfield (58) ambaye alistaafu mwaka 2011 alirejea ulingoni Septemba 12, 2021 katika pambano la maonesho ambapo alipambana na Vitor Belfort (44).

 

Katika pambano hilo Evander hakuweza kurusha hata ngumi moja dhidi ya mpinzani wake ambapo akapoteza katika raundi ya kwanza kwa TKO.

Evander Holyfield ni bondia pekee aliyeshikilia rekodi ya kushinda mikanda yote ya dunia kwa wakati mmoja (Undisputed Champion) kwenye madaraja ya cruiserweight na heavyweight

Katika pambano hilo raisi wa zamani wa US, Donald Trump na mwanae Don Jr. walikuwa wakichambua pambano hilo wakiwa pamoja na rapa mkongwe 50 Cent.


MKWANJA NJE NJE NA DISCO FUNK

Unaanzaje siku yako na kuimaliza bila kupitia katika kasino bomba za meridianbettz, mchezo mashuhuri wa Disco Funk unaweza kukufanya uwe mshindi leo hii.!

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.