Arsenal Yaichabanga Leicester Sebuleni Kwao

Mchezo huo uliopigwa mapema leo ulikua muhimu kwa timu zote mbili ambapo Arsenal walihitaji alama tatu ili kuendelea kujiweka sawa kwenye mbio za ubingwa, Huku Leicester nao wakihitaji kupata alama ili kuhakikisha wanajinusuru kushuka daraja msimu huu kama ambayo yaliwatokea misimu miwili iliyopita.
Makala iliyopita
AZIZ KI ALIVYOIBEBA YANGA KMC COMPLEX