Kagere: Fundi wa Kupachika Mabao -VPL

Mshambuliaji wa Wekundu wa Msimbazi SimbaMeddie Kagere ameongelea namna alivyoweza kufunga magoli zaidi ya 20 kwa misimu miwili mfululizo.

Itakumbukwa kwamba, Kagere alisajiliwa msimu uliopita (2018-19) akitokea timu ya Gor Mahia inayoshiriki ligi kuu soka nchini Kenya. Katika msimu huo alipachika (Kagere) magoli 23 ya Ligi Kuu Tanzania – VPL na kubeba kiatu cha mfungaji bora.

Kwa msimu huu pekee, Kagere ameshapachika magoli 22 wakati Simba wakiwa na mechi mbili mkononi kabla ya kuhitimisha msimu huu. Kuna kina dalili kwamba mshambuliaji huyu anaweza kufunga magoli zaidi ya aliyofunga msimu uliopita (23).

Akiongelea uwezo wake. Meddie Kagere amesema, ” ninafanya bidii bila kukata tamaa katika kufunga magoli. Huwa ninamuomba Mungu aniongoze katika lolote ninalolifanya. Pia uhusiano wenu katika timu, tunacheza kama timu tukisaidiana kila mmoja. Hii inanisaidia sana mimi kufunga magoli kwani tunacheza kitimu zaidi”

Simba SC ambao tayari wameshatangazwa kama mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania -VPL wanapointi 84 wakiwa na magoli 76. Kuelekea mwisho wa msimu huu wa Ligi Kuu, Simba atakutana na Coastal Union pamoja na Polisi Tanzania.

 


Kwa sababu ya thamani ya pesa yako, kwa kila muamala unaofanya wa kuweka pesa kwenye akaunti yako ya Meridianbet unapata 5% bonasi.

Soma hapa zaidi

48 Komentara

    Simba awabaatishi wachezaji big up Sana bro mk14#meridianbettz

    Jibu

    Ni kweli kabisa.kagere tunamtegemea wanasimba

    Jibu

    Mk 14 anatisha pale msimbazi

    Jibu

    Mk 14 ( mamba). Hongera kuwa Top score VPL

    Jibu

    hivi wachezaji wakibongo huwa wanastaafu mpira wakiwa na umri gani?

    Jibu

    Kagere yuko vizuri.

    Jibu

    Kagere anajitahid

    Jibu

    Yeah Kagere anajitambua anajua amefuata ni ni Tanzania

    Jibu

    Analijua San gor

    Jibu

    Kagereeee nomaaaa sanaaaa

    Jibu

    Yupo vzr Kagere

    Jibu

    Yupo vzr sana kagere

    Jibu

    Kagere ni mchezaji mzuri

    Jibu

    Kagere ni mchezaji mahili Sana

    Jibu

    Jicho moja Ilo Kama garmoshi hakosei

    Jibu

    Yuko vizuri

    Jibu

    Asante kwa nakala

    Jibu

    Kagerefu fundi

    Jibu

    Kagere ni daktari wa mpira ,sio hutani

    Jibu

    huyu mzee upepo umeanza kata simba inabidi watafute mbadala wa safu ya ushambuliaji nzima maana wote umri umekwenda sasa

    Jibu

    Kagere Yuko vzr Sana

    Jibu

    Kagere yupo vizuri sana#Meridianbettz

    Jibu

    Meddie kagere ni mkali wa nyavu kama Simba awapo porini mawindoni

    Jibu

    Kagere yupo vizuri

    Jibu

    Kagere namkubali

    Jibu

    Kegere Yuko vizuri

    Jibu

    Kagere fundi kweli

    Jibu

    Safii kagere

    Jibu

    Uzuri wa simba hawanaga kazi mbovu big up kwako.broo

    Jibu

    Kagere yupo vizuri mshambuliaji mzuri tu kwenye timu yake#meridianbettz

    Jibu

    Pamoja na umri wake kuwa mkubwa anajitahidi sana#meridianbettz

    Jibu

    Binafsi namuona Kagere kama mwiba kwenye swala la kucheka na nyavu, Misumu huu mbali na kukaa benchi mechi mbili 3 lakini ameonyesha kuwa yeye sio mtu wa kubahatisha kwenye kuwatungua makipa bali ni mwamba kabisa

    Jibu

    Kagere yupo vizuri sana akiwa uwanjani

    Jibu

    Kagere apingwi yupo vizuri mpambanaji huyo najua jembe la simba

    Jibu

    Kegere jembe kweli simba inajivunia kujituma kwake

    Jibu

    Kagere fundi

    Jibu

    Kagere anajuaaa

    Jibu

    Kagere zaidi ya mashine.

    Jibu

    kagere jembe

    Jibu

    Kagere yuko vzuri

    Jibu

    Maoni:kagere noma sana

    Jibu

    Kagere nyota yake hishashuka alikua zamani

    Jibu

    Simba wako vizuri kwenye usali awakisei

    Jibu

    ahsante kwa makala

    Jibu

    Yupo vizur jembe hilo

    Jibu

    Jamaa anajua kupachika magoli sanaaa

    Jibu

    Ni shida

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.