La Liga Kurejea Juni

Vilabu vinavyoshiriki La Liga vinajiandaa kurejea mazoezini haraka iwezekanavyo baada ya kupewa ruhusa na serikali ya Hispania.

Shuguli za michezo nchi Hispania ulisimamishwa mapema Machi kwasababu ya Corona.

Ligi kuu tayari wameweka utaratibu wakurejea mazoezini baada ya kupata ushauri wa namna gani unafaa.

Lengo ni kumalizia mechi za ligi zilizosalia katikati ya Juni, bila mashabiki.

Kuna mizunguko 11 ya mechi iliyobaki, huku Barcelona wakiwa pointi mbili juu ya Real Madrid kwenye msimamo.

Hispania wametangaza mpango wenye mihula minne kwaajili ya kuitoa nchi katika lockdown na katika ‘muhula sifuri’ kutoka 4-11 May Ligi zinaweza kurejea mazoezini.

La Liga wameweka wa utaratibu wa mazoezi wa kwa mmoja mmoja kisha vikundi vidogo na mazoezi ya timu nzima.

Wachezaji, makocha na viongozi watapimwa kabla ya mazoezi na kupimwa kila siku.

Msimu wa Ligue 1 na Ligue 2 umezuiwa kuendelea Jumanne baada ya Ufaransa kufungia shughuli zote za michezo hadi Septemba.

Baada ya tangazo la Ufaransa,Raisi wa La Liga, Javier Tebas amesema: “Sitaki kuelewa kwanini kutakuwa na hatari kucheza mpira bila mashabiki na tumezingikatia tahadhari zote, kuliko kufanya kazi kwenye kiwanda cha samaki??”

Makala iliyopita
Makala ijayo

13 Komentara

    Bora ilejee maana tunaisubiri kwa hamu meridian mko vizuri sanaaaa

    Jibu

    Safi kabisa

    Jibu

    Itakuwa poa sana

    Jibu

    Wamalizie ligi isije let’s mkanganyiko Kama haitakwisha jmn

    Jibu

    Cant wait to see pure football again!!! Lets go Laliga>>>>>

    Jibu

    Safi Sana tunawasubiri meridianbet coz tulimic kubet

    Jibu

    Ni mwendo wakutoa mikeka

    Jibu

    itakuwa poa sana

    Jibu

    Sasa kwa jinsi inavyoonesha ligi inarudi lakini kwa masharti fulani kwa vilabu vyote vinatakiwa kufuata au kwa utaratibufurani unatakiwa kufuatwa siyo kama tulivyo zoea #kill covid19😟😟

    Jibu

    Uhondo urudi tumemis sana kuangalia michezo hasa hasa soka ligi za majuu

    Jibu

    Vizur

    Jibu

    Burudan zinaongezeka tu

    Jibu

    Habar njema

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.