Ni kwa mara ya kwanza kwenye historia ya michuano ya Euro hii mechi zinapigwa kwenye nchi 11 ikiwa ni saa na miji 11
Utaratibu wa mwanzo ulikuwa ni nchi moja mwenyeji au nchi mbili mfano 2012 ilikuwa Poland na Ukraine
Sasa mwaka huu nchi kama England, Italia, Azerbaijan, Ujerumani, Hungary, Romania, Russia, Scotland, Spain, Uholanzi na Denmark
Huku Ireland ikiondolewa kutokana na changamoto za COVID-19
Nusu fainali na Fainali zitapigwa kwenye dimba la Wembley nchini Uingereza
Huku kwenye viwanja vyote 11, ni Puskas Arena pekee Jijini Budapest ndio utaingiza Mashabiki uwanja mzima huku viwanja vingine ikiwa ni idadi maalum
Chukua namba yako ya akaunti na kiasi cha pesa unachotaka kuweka, sogea kwenye duka lolote la Meridianbet lililo karibu nawe utasaidiwa kuweka pesa.
Ngoja tuone nani atakuwa bingwa
Habari njema
Habari nzuri