Southampton imethibitisha kwamba Mark Hughes ndiye meneja wao wa kikosi cha kwanza klabuni hapo! Hughes amepata kibarua hicho kwa mkataba unaoenda mpaka mwishoni mwa msimu huu na jukumu lake la …
Makala nyingine
Inadaiwa kwamba Marco Silva ambaye alikuwa ni mkufunzi wa klabu ya soka ya Watford ni moja wapo ya wakufunzi wanaoonekana kwamba ni dhahiri watachukua kazi ya kuifudisha klabu ya soka …
Mara baada ya kupita kwenye hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, sasa kocha wa klabu ya soka ya Liverpool, Jurgen Klopp amedai kwamba yeye hajali ni timu …
Habari zinasema kwamba klabu za soka za Watford, Liverpool, Arsenal na West Ham zote zinamuwinda msakata kabumbu nafasi ya kiungo cha kati wa Benfica, Bryan Cristante wa Ureno. Pamoja na …
Kumekuwa na mazungumzo kuhusiana na mkataba mpya kati ya Courtois na klabu yake ya Chelsea ambayo yamesogezwa mbele mpaka majira ya joto msimu huu. Mazungumzo hayo yanatokana na habari kwamba …
Moja ya tovuti za habari za soka zinadai kwamba klabu ya soka ya Real Madrid inamfanyia uchunguzi mchezaji nafasi ya winga wa klabu ya Manchester City ya kule Uingereza! Anayezungumziwa …
Kwa mujibu wa AS inadaiwa kwamba mchezaji nafasi ya mshambuliaji wa klabu ya Real Madrid, Karim Benzema anafukuziwa na vilabu vinne huko majuu! Mchezaji huyu mwenye umri wa miaka 30 …
Msukuma gozi mpya wa Mashetani Wekundu wa jiji la Manchester, Alexis Sanchez amepata hukumu ya miezi 16 jela! Hii imetokana na kosa lake la ukwepaji wa kulipa kodi wakati akiwa …
Mchezaji kiungo wa kati wa klabu ya soka ya Liverpool, Emre Can anaweka wazi kwamba hajasaini makubaliano ya kujiunga na Juventus msimu huu! Anasema kuwa kwa sasa bado anaongea na …
Liverpool imeamua kukacha mkakati wao wa kumsajili winga wa klabu ya Monaco, Thomas Lemarbada! Hii ni mara baada ya klabu hiyo kuomba dau la paundi milioni 90 kwa mchezaji huyo! …
Kwa siku za hivi karibuni kumekuwa na habari kuwa meneja wa klabu ya soka ya Chelsea, Antonio Conte ana uwezekano mkubwa wa kuondoka pale Darajani Stamford kipindi cha mwisho mwa …
Kuna habari kuwa klabu ya Chelsea inamhitaji sana mchezaji mshambuliaji wa klabu ya huko Ujerumani ya Borussia Monchengladbach na Ubelgiji aitwaye Thorgan Hazard! Mchezaji huyu ana umri wa miaka 24 …
Mwanasoka mahiri Philippe Coutinho atalazimika kukaa nje ya uwanja kwa muda wa majuma matatu! Hii ni mara baada ya vipimo vya klabu mpya iliyomsajili Barcelona kugundua kwamba staa huyo ana …
Mchezaji kiungo wa kati wa klabu ya soka ya Shakhtar Donetsk na Brazil Fred ambaye ana umri wa miaka 24 anasema anangojea kwa hamu kubwa kupokea simu ya meneja Guardiola …
Stoke City imemtimua aliyekuwa kocha wake Mark Hughes baada ya kufungwa na timu ya daraja la pili Coventry City Jumamosi katika michuano ya kombe la FA. Stoke City walipoteza kwa …
Wikiendi imewadia na ni muda wa kushuhudia mitanange ya Ligi Pendwa duniani, yaani, Ligi Kuu ya Uingereza ikiwa ni gemu za kufungia mwaka. Tumeona hekaheka za maana sana siku ya …
Swansea City imemteua kocha wa zamani wa Sheffield Wednesday, Carlos Carvalhal kama kocha wao wa kudumu. Kocha mchezaji Leon Britton ndio alikuwa kocha wa muda wa Swansea tangu Paul Clement …
Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Uingereza na Cardiff City Rickie Lambert ametangaza kustaafu leo kucheza mpira wa miguu baada kuutumikia kwa takribani miaka 19. Lambert 35 amechezea vilabu mbalimbali …
Beki wa kushoto wa klabu ya Manchester City Benjamin Mendy atakuwa nje kwa miezi saba baada ya kupata majeraha ya goti. Mendy alipata majeraha hayo katika mchezo wa ligi kuu …
Hapo juzi viwango vipya vya ubora wa FIFA vimetangazwa ambapo timu za kandanda za mataifa ya Kenya na Tanzania zimeshuka sana! Hiyo ni orodha ya kila mwezi inayotolewa na FIFA. …

