Makala nyingine

Klabu ya Arsenal inahusishwa na mlinzi wa eneo la kati anayekipiga katika klabu ya Sporting Lisbon ya nchini Ureno raia wa kimataifa wa Ivory Coas Ousmane Diamonde. Arsenal inahusishwa na …

Beki wa kulia wa klabu ya Manchester City Kylie Walker amemmwagia misifa beki wa kulia wa klabu ya Bayern Leverkusen vinara wa ligi kuu nchini Ujerumani Jeremie Frimpong. Kylie Walker …

Klabu ya Manchester United inaelezwa itaingia sokoni kutafuta beki wa kushoto ambaye atakuja kusaidiana kazi na beki wa kimataifa wa Uingereza klabuni hapo Luke Shaw. Manchester United inaelezwa wanapanga maboresho …

Victor Osimhen amerejea mazoezini na Napoli baada ya kujiondoa katika majukumu ya kimataifa na Nigeria na anaweza kuwa fiti kukabiliana na Atalanta. Mshambuliaji huyo wa kati alilazimika kujiondoa katika nafasi …

Ripoti za Italia zinadai kuwa Nottingham Forest ilimpa Maurizio Sarri mkataba wa miaka mitatu baada ya kujiuzulu kutoka Lazio, lakini akawakataa. Kocha huyo alijiuzulu mnamo Machi 13 kufuatia kushindwa mara …

Nicolò Barella alisherehekea mchezo wake wa kwanza kama nahodha wa Italia kwa kufunga bao adimu katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Ecuador. ‘Huu ni mwanzo mpya’ chini ya Luciano Spalletti. …

Beki wa klabu ya Man City anayekipiga klabu kwa mkopo klabu ya Barcelona Joao Cancelo ameitolea uvivu klabu yake ya City kutokana na tuhuma ambazo amekua akitupiwa. Cancelo ambaye anakipiga …

1 2 3 4 5 937 938 939