Mchezaji wa klabu ya Atletico Madrid Joao Felix anayekipiga kwa mkopo klabu ya Barcelona ameonesha kutamani mchezaji mwenzake wa kimataifa wa Ureno Bernardo Silva kujiunga na Barcelona. Akifanya mazungumzo na …
Makala nyingine
Klabu ya Chelsea itaweza kufuta uteja kwa klabu ya Manchester United leo katika mchezo wa ligi kuu ya Uingereza utakaopigwa usiku wa leo ndio kitendawili kikubwa kwa matajiri hao wa …
Kocha wa Manchester United Erik Ten Hag amesema anatamani kuiona klabu yake inafuzu kwenye michuano ya ligi ya mabingwa ulaya msimu ujao licha ya kutokua kwenye nafasi nzuri kwasasa. Kocha …
Nyota wa Napoli Khvicha Kvaratskhelia bado anafanya mazoezi tofauti na wachezaji wengine wa kikosi cha kwanza cha Partenopei baada ya kupata jeraha la paja lake la kushoto alipokuwa kwenye majukumu …
Kiungo wa klabu ya Arsenal na timu ya taifa ya Ghana Thomas Teye Partey amesema anajua taarifa mbalimbali zinazoendelea lakini yeye binafsi ana furaha kuendelea kuwepo ndani ya Arsenal. Kiungo …
Brighton ilishinda mchezo mmoja tu kati ya tano zilizopita na The Guardian inabainisha kuwa Roberto De Zerbi hana uwezekano wa kuvishawishi vilabu vya juu vya Ulaya kumwajiri katika majira ya …
Inter wanatafuta mbadala wa Francesco Acerbi na wameelekeza macho yao kwa beki wa kati wa Bologna Sam Beukema. Nerazzurri wanajiandaa kupigana pande nyingi msimu ujao huku wakijiandaa kushiriki Serie A, …
Inaanza kuonekana kuwa haiwezekani kwamba Roma wataweza kumbakisha Romelu Lukaku zaidi ya msimu huu na vilabu vya Saudi Arabia vimejitokeza kuanza kuchunguza uhamisho wa majira ya joto. Mshambuliaji huyo wa …
Phil Foden alifunga mabao matatu ‘hat-trick’ huku Manchester City wakizidisha presha katika mbio za kuwania taji la Ligi kuu kwa ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Aston Villa inayofukuzia kucheza …
KIKOSI Cha Yanga ambacho kipo Afrika Kusini kwenye maandalizi ya mchezo wa marudiano dhidi ya Mamelodi Sundowns Imeanza kazi rasmi ya kusaka nafasi ya kwenda nusu fainali. Ofisa Habari wa …
KOCHA wa Simba, Abdelhak Benchikha yupo kwenye mtihani mzito kutokana na kutokuwa na washambuliaji wenye uwezo unaowapa nafasi kikosi cha kwanza kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika. Pia washambuliaji wa Simba …
WAWAKILISHI wa Tanzania katika Ligi ya Mabingwa Afrika wakiwa hatua ya robo fainali Simba wamekwea pipa kuelekea Misri kusaka ushindi dhidi ya Al Ahly. Huo ni mchezo wa robo fainali …
Beki wa Manchester United Lisandro Martinez ameendeleza mkosi wa wachezaji wa Argentina ambao wameshindwa kutamba ndani ya klabu hiyo kutokana na majeraha ambayo amekua akiyapata. Taarifa ambayo ilitoka jana kua …
Kocha wa klabu ya Liverpool Jurgen Klopp amesema kiungo wake raia wa kimataifa wa Uingereza Curtis Jones yuko tayari kwa mchezo wa kesho dhidi ya klabu ya Sheffield United. Curtis …
Kocha wa klabu ya Chelsea Mauricio Pochettino amesema kua kiungo mshambuliaji anayekipiga klabu hiyo akitokea Manchester City Cole Palmer anastahili kuongezewa mkataba. Wakati akihojiwa na wanahabari kuhusu Cole Palmer kupewa …
Kocha wa Manchester United ameeleza kua mabeki wake wawili waliokua wanauguza majeraha ambao ni Raphael Varane na Johnny Evans wamerejea mazoezini leo. Mabeki Raphael Varane na Evans walikua wanasumbuliwa na …
Mshambuliaji wa klabu ya Newcastle United raia wa kimataifa wa Sweeden Alexander Isak amezungumza kua mustakabali wake upo ndani ya klabu hiyo na hana mpango wa kutimka ndani ya timu …
KLABU ya Simba kutoka Tanzania inajiandaa na mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly unaochezwa wiki hii huko Misri. Mchezo ambao kimsingi hautakuwa rahisi kwa …
Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan itagharamia safari nzima ya mashabiki 48 wa Yanga kwenda Pretoria, Afrika Kusini kushuhudia mechi ya marudiano baina ya Mamelodi Sundowns na Yanga itakayochezwa, Ijumaa, …
NYOTA watatu wa Yanga ambao walikosena kwenye mchezo uliopita dhidi ya Mamelody Pacome Zouzoua, Khalid Aucho na Yao Attahoula wanatarajia kuwa sehemu ya wachezaji watakaocheza mechi ya marudiano. Msemaji wa …