Endapo ulitegemea kwamba golikipa wa klabu ya soka ya Liverpool, Loris Karius atakaa benchi au kuondoka kabisa klabuni pale basi sahau kabisa kuhusu hilo. Kwa mujibu wa ripoti kutoka vyanzo …
Makala nyingine
Klabu ya Manchester United ipo tayari kuweka mezani dau la paundi milioni 40 ili wamnase mchezaji mwenye umri wa miaka 22 kutoka PSV Eindhoven ambaye pia ni mshambuliaji wa Mexico, …
Hizi hapa ni mechi za kirafiki watakazocheza Manchester City kwa ajili ya kujiandaa na msimu mpya wa EPL mwaka 2018/2019: Manchester City / Pre- season 2018/19: 21.7.2018/ Man City vs …
Washika Mitutu wa klabu ya Arsenal wanasemekana kuwa wanazungumza na Lorient juu ya kumsaini Matteo Guendouzi ambaye ana umri wa miaka 19 kutokea huko Ufaransa na kwa sasa yupo kwenye …
Hizi hapa ni mechi za kirafiki watakazocheza Manchester United kwa ajili ya kujiandaa na msimu mpya wa EPL mwaka 2018/2019: Manchester United / Pre-season 2018/19 20-7-2018/ CF America vs Man …
Hapo jana usiku mara baada ya Ubelgiji kuwatwanga Brazil kwa magoli 2-1 wamefanikiwa kuingia nusu fainali na inakuwa ni mara ya pili kwao kufikia hatua kama hii. Jikumbushe Kwa mara …
Inadaiwa kwamba klabu ya huko Ufaransa ya Paris St-Germain ina lengo la kumnasa mchezaji kiungo wa kati wa nchini Ufaransa na Chelsea, N’Golo Kante. Wanamtaka msimu huu ambapo inasemekana kwamba …
Wanabluu wa Chelsea wapo tayari kufanya majadiliano ili waweze kubadilishana mshambuliaji Alvaro Morata wa Hispania. Wanataka mchezaji huyu mwenye umri wa miaka 25 arejee klabuni kwake kwa zamani Juventus. Ikiwa …
Hatutegemei kwamba kocha Vladimir Petkovic akiwa na mchezaji wake staa Xherdan Shaqiri wataruhusu kuchezea kichapo mbele ya Sweden hatua ya mtoano ya Kombe la Dunia mwaka huu 2018 inayoendelea kule …
Inadaiwa kuwa huenda klabu ya Manchester United ikamnasa mchezaji beki Leonardo Bonucci wa AC Milan. Inatokana na timu hiyo kufungiwa kushiriki mashindano ya Ulaya kwa kesi ya masuala ya fair …
Mchezaji Marouane Feallain ambaye ni kiungo wa klabu ya soka ya Manchester United ameongeza mkataba wake kwa muda wa miaka miwili ili kuendelea kucheza klabuni hapo. Hapo mwanzo ilielezwa kuwa …
Kwa mujibu wa chanzo cha habari za michezo cha Express kinachoripoti kuwa mchezaji kiungo wa kati wa taifa la Serbia, Sergej Milinkovic-Savic inadaiwa kuwa atahamia kwa Mashetani Wekundu wa Old …
Klabu ya soka ya Chelsea inakaribia kuikimbiza kabisa Real Madrid kwenye hekaheka za kumsajili mchezaji nyanda wa Roma, Alisson! Hii ni katika mkataba unaomthamini mchezaji huyo wa Brazil mwenye umri …
Uwanjani leo kuna jumla ya mechi nne kwenye Kombe la Dunia na kocha Carlos Queiroz atakuwa akikiongoza kikosi chake katika kusaka taji hilo na mechi yao leo ni dhidi ya …
Real Madrid imesaini mkataba wa muda wa miaka 6 na mchezaji kinda Andriry Lunin. Huyu anatokea Ukraine kwa klabu ya Zorya Luhansk. Kwa sasa kinda huyo ana umri wa miaka …
Hii inakuja ikiwa ni baada ya wao kukosa kupenya mwaka 2014 ambapo sasa timu ya taifa ya Denmark inakwaana na mataifa kadhaa kuhakikisha wanafanikiwa kwenye Kombe la Dunia. Mchezaji Eriksen …
Leo ndiyo leo dimbani! Ivan Rakitic, Luka Modric na Ivan Perisic ni viungo bora kwenye michuano ila walishindwa kabisa kufanya kitu kwenye hatua ya makundi kwenye mara tatu za mwisho …
Alasiri ya leo dimbani kocha wa Colombia, Jose Pekerman pamoja na mchezaji wake staa Radamel Falcao watakuwa dimbani kuumana na Japan kwenye gemu za ufunguzi wa Kundi H la michuano …
Nabil Maaloul ambaye ni kocha wa taifa la Tunisia anakiongoza kikosi chake kuwinda taji la Kombe la Dunia leo hii! Ikiwa ni mara baada ya wao kuonekana kwenye fainali 3 …
The Mirror wanaripoti kuwa klabu ya Washika Mitutu wa Arsenal wanalo lengo la kumfanyia usajili mchezaji nafasi ya kiungo wa kati wa Borussia Dortmund, Mario Gotze wa Ujerumani. Kiungo huyu …

