Makala nyingine

Endapo ulitegemea kwamba golikipa wa klabu ya soka ya Liverpool, Loris Karius atakaa benchi au kuondoka kabisa klabuni pale basi sahau kabisa kuhusu hilo. Kwa mujibu wa ripoti kutoka vyanzo …

Klabu ya Manchester United ipo tayari kuweka mezani dau la paundi milioni 40 ili wamnase mchezaji mwenye umri wa miaka 22 kutoka PSV Eindhoven ambaye pia ni mshambuliaji wa Mexico, …

PSG Wanamtazamia Kante

Inadaiwa kwamba klabu ya huko Ufaransa ya Paris St-Germain ina lengo la kumnasa mchezaji kiungo wa kati wa nchini Ufaransa na Chelsea, N’Golo Kante. Wanamtaka msimu huu ambapo inasemekana kwamba …

Usajili wa Chelsea

Wanabluu wa Chelsea wapo tayari kufanya majadiliano ili waweze kubadilishana mshambuliaji Alvaro Morata wa Hispania. Wanataka mchezaji huyu mwenye umri wa miaka 25 arejee klabuni kwake kwa zamani Juventus. Ikiwa …

Hatutegemei kwamba kocha Vladimir Petkovic akiwa na mchezaji wake staa Xherdan Shaqiri wataruhusu kuchezea kichapo mbele ya Sweden hatua ya mtoano ya Kombe la Dunia mwaka huu 2018 inayoendelea kule …

Mchezaji Marouane Feallain ambaye ni kiungo wa klabu ya soka ya Manchester United ameongeza mkataba wake kwa muda wa miaka miwili ili kuendelea kucheza klabuni hapo. Hapo mwanzo ilielezwa kuwa …

Klabu ya soka ya Chelsea inakaribia kuikimbiza kabisa Real Madrid kwenye hekaheka za kumsajili mchezaji nyanda wa Roma, Alisson! Hii ni katika mkataba unaomthamini mchezaji huyo wa Brazil mwenye umri …

Uwanjani leo kuna jumla ya mechi nne kwenye Kombe la Dunia na kocha Carlos Queiroz atakuwa akikiongoza kikosi chake katika kusaka taji hilo na mechi yao leo ni dhidi ya …

Hii inakuja ikiwa ni baada ya wao kukosa kupenya mwaka 2014 ambapo sasa timu ya taifa ya Denmark inakwaana na mataifa kadhaa kuhakikisha wanafanikiwa kwenye Kombe la Dunia. Mchezaji Eriksen …

Leo ndiyo leo dimbani! Ivan Rakitic, Luka Modric na Ivan Perisic ni viungo bora kwenye michuano ila walishindwa kabisa kufanya kitu kwenye hatua ya makundi kwenye mara tatu za mwisho …

Nabil Maaloul ambaye ni kocha wa taifa la Tunisia anakiongoza kikosi chake kuwinda taji la Kombe la Dunia leo hii! Ikiwa ni mara baada ya wao kuonekana kwenye fainali 3 …

The Mirror wanaripoti kuwa klabu ya Washika Mitutu wa Arsenal wanalo lengo la kumfanyia usajili mchezaji nafasi ya kiungo wa kati wa Borussia Dortmund, Mario Gotze wa Ujerumani. Kiungo huyu …

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.