Andre Onana Atoa Tamko Baada ya Kufukuzwa Timu ya Taifa ya Cameroon.

Baada ya taarifa kuzagaa kuwa Goli kipa namba moja wa Cameroon Andre Onana, kufukuzwa kwenye timu ya taifa iliyopo Qatar kwaajili ya michuano ya kombe la dunia.

 

onana

Kipa Huyo ametoa maelezo yake kuhusu tukio hilo huku akiwashukuru mashabiki.

“Nataka kuelezea hisia zangu kwenye nchi na timu ya taifa, jana sikuruhusiwa kuwa uwanjani kuisaidia Cameroon, kama ilivyo kila siku, ili kutimiza malengo, nimeishi kwa nidhamu ili kufikia malengo ya timu”

 

onana

“Nimejaribu kuweka nguvu zangu zote kutafuta suluhu kama mchezaji anayokutanayo, lakini kwa upande wa pili hawakuwa tayari, matukio mengine ni ngumu kuelezea, ila naheshimu mawazo ya wahusika ili kuleta tija kwenye timu na nchi”.

“Thamani niliyoionesha kama mtu na mchezaji ni moja inayonielezea mimi ni nani, na hiyo ndio familia yangu imenifunza tangu utotoni, kuiwakilisha Cameroon kila mara imekuwa ni fahari. Utaifa kwanza na milele”. Alimaliza kuandika Onana.


Je wewe hucheza Kasino Mtandaoni na umekuwa ukijiuliza ni mchezo gani rahisi na mzuri kwa ushindi? Basi Usihangaike Aviator ni rahisi zaidi kucheza na kushinda, kingine cha zaidi ni kwamba Aviator Bonanza imerudi tena Cheza zaidi ujiweke kwenye nafasi ya kushinda Samsung A23.

CHEZA HAPA

 

onana

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.