Genaro Gattuso anatajwa kama moja ya magwiji wa Ac Milan lakini hii leo ataweka ugwiji wake pembeni na kuwavaa Milan ambao wanaonekana “gari imewaka” akiwa kocha wa Napoli. Tangu baada ya Corona Milan wameshinda mechi 4/5 huku wakifunga mabao 15 na kufungwa 5 na week iliyopita wakifanya come back kubwa kwa vinara wa ligi Juventus.

Napoli nao wanaonekana wako katika fomu nzuri,na kizuri zaidi kwao ni rekodi zao vs Milan kwani kwenye mechi 25 walizokutana tangu 2008 Ac Milan wameshinda mechi 5 tu kati ya hizo wakipigwa mara 10 huku mechi 6 za mwisho wakiwa nyumbani wakishinda zote.
Mimi sio mtabiri lakini ugumu wanaoupata Milan wakienda nyumbani kwa Napoli(San Paulo) ni mgumu sana lakini pia kiwango cha Milan siku za karibuni kinampa mashaka mtu yeyote kuwaua,hapa naona sare.


theckla
Gatusso anajua majukum yake na nn anafanya
David Pere
He gatusso anaweza kuifunga timu take ya zamani akiwa Kama kocjha wa Napoli ,au atawapatia upendeleo
Samiah
Nihabari njema hz
Salma
Habari njema
mwakalosi
mpira kuna muda inabidi uumize unapopapenda
Fatuma kasomo
Gatusson anajua nini anafanya
Evaluziga
Asanten kwa makara
Angelina
Goodupdate
warda
Hii inaitwa piga nikupige#Meridianbettz
Adelta
Mashabiki tunashukuru kwa makala nzuri
Zeiyana
Hinatakiwa kujiamini tu waondoe of wa watumikie majukumu yao
Mwanahamisi
Gud news
Tatu
Asante kwa taarifa
Lydia Emmanuel Magoti
GATUSSO Anajua nn ana kifanya mpambanaji huyo
felister
ahsante kwa makala
isha
Acha tuone nini kitatokea maana mpira hautabiliki unaweza ukatamba kumbe matokeo yakaja tofauti
Magdalena
Habar njema Sana
Khadija
Gattuso anajua nn anafanya#meridianbettz
caroline
wewe Gatuso acha kuongea sana mpira dk 90
Franky
Una sema nn we Gattuso eh mpira dk 90 bana
Omary lukumbi
Gattuso mtu mbaya sana kazi kwanza ugwiji ushapitwa na wakat tayar ana maisha mingine historia itabaki pale pale
Shafii
Mbinu za vitisho ni nzuri kwa wapinzani wako unawaweka kwenye maulizo.
Edgar
Mtamuweza au mnasema tu
Issa
Ac milan wapo moto sana ila gatuso atahitaji pia alinde heshima yake kwa milan sababu ni klabu alioichezea kwa kipindi kirefu
Njiku
Gatusso anamajigambo aisee
Hope mwaikuka
Bora mwenzang
Gabriel
Habar njema sana 👍
Johnmary joel
Nimchezaji mzuri sana#meridianbett
Furahav
Ngoja tuone itakuaje?
devotha
asante kwa makala #meridianbet
Rehema
Ngoja tuone kwanza
Povel tz
Don’t miss
sabrina
Asante kwa taarifa
Amiri Kayera
Itaka match ya viwango vya juu
Asia Abdy
Wacha tuone
Latifa juma mohamed
Acha tuone kwanz
Ernest
Kweli maana ni mechi ngumu kwa pande zote mbili
Dorophina
Mechi itakuwa ngumu sana ngoja tuone dakika 90
Genia Sikaluzwe
Kiukweli mechi ni ngumi ila mpira dakika90 ngonja tuone nn Kitatoke hapo badae
Neema juma
Asante kwa kutujuza
Saupha mohamed
Makala mzuri