Kandanda la kimataifa linarejea baada ya kukosekana kwa muda mrefu kutokana na janga la virusi vya corona. Huku wababe Germany na Spain wakiumana siku ya Alhamisi.
Baada ya mapumziko ya zaidi ya miezi tisa , kikosi cha timu ya taifa ya Ujerumani kikiongozwa na kocha Joachim Loew , na vikosi vingine vya kimataifa barani Ulaya , vinarejea uwanjani katika kinyang’anyiro cha Ligi ya mataifa.
Athari za janga la virusi vya corona bado linatikisa na michezo hiyo itachezwa bila ya mashabiki kuwapo uwanjani.
Kiasi ya siku 286 zimepita baada ya kuipiga mweleka Ireland ya kaskazini kwa mabao 6-1, Joachim Loew anakusanya kikosi chake tena leo.
Die Manschaft (Germany) itafanya matayarisho yake mjini Stuttgart kwa muda wa siku chache tu kwa ajili ya pambano la Alhamisi la Ligi ya Mataifa dhidi ya Uhispania kabla ya kwenda Basel ambako kikosi hicho kitakutana na miamba wa Uswisi siku ya Jumapili.
Mashujaa walionyakua mataji matatu msimu huu wa Bayern Munich Manuel Neuer, Joshua Kimmich, Leon Goeretzka na Serge Gnabry wamepumzishwa katika mtanage huo wa Germany na Spain.
Italia ambayo inaonekana kuimarika tena ni wenyeji wa Bosnia siku ya Ijumaa, na Uingereza inafanya ziara Iceland siku ya Jumamosi. Mabingwa wa dunia Ufaransa pia wanasafiri kwenda Sweden.
SHINDA NA HI LO
Sasa hii ni rahisi zaidi kupata USHINDI! Unatabiri karata ipi ipo chini au juu, kisha unakusanya mkwanja wako.
Latifa juma mohamed
Ahsanteni kwa habari njema tuliimic
Gabriel
mechi kal sana 👍
magdalena
safi sana ila german hawajawahi niangusha ata mara moja
Mwanahamisi
Mechi kabambe
Fatina mfigi
Mechi zimetulia
Mwajumah
Mtanange wa kufa mtu#Meridianbettz
Shani
Safii
Dorophina
German wapo vizuri najua watafanya poa
Khadija
Siwez kukosa mechi za pesa hizo
Caroline
Weuwee I can’t wait
Nasra
Mechi ngumu Sana
Adelta
Mechi zote kali
@meridianbettz
Sauda
Mechi ngumu
Sadick
England na Italy zimeimarika,lakini Spain na Ujerumani matokeo yao yamekuwa ya kususua#meridianbettz
Samiah
Game ngumu
Shafii
Hii mechi sio ya kukosa patachimbika kiwanjani.
Neema
Mechii kalii kinomaa
Samira
Tunaisubiri kwa hamu
aisha
Hapa tutaona utam wa kandanda germany wataibuka kidedea
rama
mechi kali sana hii
Hidaya
Germany hawawezi kuniangusha
Shani
Mmh Germany itakua kama kawaida
Povel
Don’t miss
Rehema Dickson
Tunasubir sana
Janeflora malisa
Nice
Saupha mohamed
Mechi kali
Fatuma kasomo
Tunasibiri
Genia Sikaluzwe
Mechi Kali Sana hiii
Frank P
Game ngumu hii wote wana wachezaji wazurii
Amiri Kayera
Wababe wanakutana itakua mechi kalii
Issa
Ni mechi yenye ushindan mkubwa sana ila spain itaondoka mbabe
Agness
Bonge la mechi
Hope mwaikuka
Can’t wait for this
Revina
Ni mechi zenye ushindani mkubwa
Edgar
Mechi kali sana
Rehema
Hii mechi ngumu sana
David Pere
England na Italy zimeimarika,lakini Spain na Ujerumani matokeo yao yamekuwa ya kususua
farida ahmadi
Mtanange mkali Sana
Tatu
Miamba inakutana leo
Lydia Emmanuel Magoti
Kandanda laina yake apatoshi hapo wote visu apo nyavu sijui itatingishika kwenye lango lanani leo apo
Ernest
Hii ni mechi ya kisasi na kila Taifa likiwa na ingizo kubwa la Damu changa
felister
apo chacha ndo pabaya
Furahav
Hatari sana.
Rose kapinga
Mambo mazuri yanakuja!!!
Ester jackson
Mechi ilikuwa ngumu sana mpaka wakatoa suluhu
warda
Mko na habari nzuri