Meneja wa Manchester City, Pep Guardiola amesema kuwa vijana wake walistahili kushinda kwa kuwa walijituma mwanzo mwisho dhidi ya blues wakiwa darajani.
Manchester City ilishinda mabao 3-1 dhidi ya Chelsea ya Frank Lampard wakiwa ugenini ndani ya Stamford Bridge kwenye mchezo wa Ligi Kuu England.
Mabao ya City yalifungwa na Likay Gundogan dakika ya 18, Phil Foden dakika ya 21 na Kevin De Bruyne dakika 34 huku lile la kufuta machozi kwa Chelsea likifungwa dakika za lala salama na Callum Hudson-Odoi dakika ya 90+2.
Ushindi huo unaifanya Manchester City kuwa nafasi ya tano na pointi zake kibindoni ni 29 huku Chelsea ikiwa nafasi ya nane na pointi 26.
Guardiola amesema:”Haikuwa kazi rahisi tukiwa ugenini na tumeanza 2021 kwa kupata pointi tatu ni jambo la furaha kwetu na wachezaji kiujumla wanastahili pongezi,” .
Ndio, kwetu Mteja ni mfalme. Jiunge sasa na familia ya Meridianbet bila malipo yeyote na sisi tutakuzawadia bonasi ya shilingi 3,500 kama sehemu ya kukukaribisha kwenye familia hii BURE!!!. Unasubiri nini??
warda
Hongera yao ilikuwa mechi kali sana
Adelta
Manchester City wako vizuri
Hopemwaikuka
Pongez nyng kwenu kwa point tatu muhim
Rahmal
Manchester siti wako poq
Shakila mrope
Pongezi kwenu
Magdalena
Juhudi zao ndo zimewapa ushindi
Sarah
Ushindi kwao nisahihi
Dorophina
Pongezi kwao man city
Mwanahamisi
Pongezi kwao man
Lydia Emmanuel Magoti
Nikweli kabisa
Sania
Ni kweli kabisa
Issa
Safi
Sabrina
Pongez ziwafikie