Mambo yametaradadi kunako NBA msimu huu. Stephen Curry na LeBron James kwao ni ushindi tu!
Golden State Warriors walikuwa uwanjani wikiendi hii kupambana na Portland Trail Blazers. Huu ni mchezo ambao Curry ameweka rekodi yake binafsi ya kufunga pointi 62 katika mchezo mmoja.

Stephen alikuwa kwenye kiwango thabiti na kuisaidia Warriors kupata ushindi wa pointi 137-122.
Upande wa pili, LA Lakers waliwaburuza Memphis Grizzlies kwa ushindi wa pointi 108-94, huu ni ushindi wa 3 mfululizo kwa mabingwa hawa watetezi wa NBA.

LeBron James alipachika pointi 22 na kutoa pasi 8 za magoli akichagiza matokeo ya ushindi huo.
Matokeo ya michezo ya NBA iliyochezwa Jumapili hii:
Ndio, kwetu Mteja ni mfalme. Jiunge sasa na familia ya Meridianbet bila malipo yeyote na sisi tutakuzawadia bonasi ya shilingi 3,500 kama sehemu ya kukukaribisha kwenye familia hii BURE!!!. Unasubiri nini??



warda
Currylebron na James mwaka kwao umeanza vizuri sana
Adelta
NBA wameanza mwaka vizuri
Magdalena
Safi sana mwanzo mzuri
Lydia Emmanuel Magoti
Safiii Sana wameuwanza mwaka vizuri
Angelina
NBA kumenoga
Shakila mrope
NBA wako makini
Hopemwaikuka
Nawakubal sana nyie watu
Rahmal
Nb wako vizuli
Dorophina
Wameanza na mwanzo mzuri sana NBA kumenoga
Ernest Kimeru
Kazi Kazi
Mwanahamisi
NBA nawakubali sana
Sania
Safi sana
Issa
Nba wew