Inter Wanamlenga Beki wa Zamani wa Milan Tiago Djalo’

Beki wa zamani wa Milan Tiago Djalò anaweza kuwa njiani kurejea San Siro, lakini kwa upande mwingine wa Inter wakati mkataba wake na Lille utakapomalizika.

 

Inter Wanamlenga Beki wa Zamani wa Milan Tiago Djalo’

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 23 alitoka katika akademi ya vijana ya Sporting CP na alijiunga na Milan kwa €1m Januari 2019. Alikaa huko kwa miezi sita tu kabla ya kuuzwa kwa Lille kwa bei kubwa ya €4m.

Odds kubwa kasino ya mtandaoni na michezo ya sloti ni vitu vinavyoweza kubadilisha maisha yako kwa kukupatia pesa nyingi. Ingia mchezoni hapa.

Mchezaji huyo wa Ureno alicheza vizuri kwenye Ligue 1 hadi alipopata jeraha baya la kano ya goti mnamo Machi 2023 na bado hajarejea tena.

Inter Wanamlenga Beki wa Zamani wa Milan Tiago Djalo’

Wakati huo huo, mkataba huo unatarajiwa kumalizika Juni 2024 na haonekani kuwa na nia ya kusaini mkataba mpya, hivyo atakuwa mchezaji huru msimu ujao wa joto.

Kulingana na mchambuzi wa masuala ya uhamisho wa Kiitaliano, Fabrizio Romano na SOS Fanta, kuna nia ya dhati kutoka kwa Inter kumnunua kwa ajili ya msimu ujao.

Beti na Meridianbet kwa odds kubwa na machaguo kibao, pia unaweza kubashiri mubashara.

Inter Wanamlenga Beki wa Zamani wa Milan Tiago Djalo’

Vilabu vingi vinafuatilia hali yake, lakini Inter wamekuwa wakiwasiliana moja kwa moja na msafara wake ili kujadili masharti.

Tiago Djalò kimsingi ni beki wa kati, lakini pia anaweza kucheza kama beki wa kulia au beki wa kushoto inapohitajika.

Acha ujumbe