Kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp amezungumza na mshambuliaji wa klabu hiyo Mohamed Salah kuhusu miendendo yake baada ya kupatikana na virusi vya corona mara mbili aliporejea kutoka shughuli ya kimataifa nchini Misri.
Kiungo huyo mwenye miaka 28-aliripotiwa kuonekana katika harusi ya ndugu yake.
Salah, ambaye kwa sasa amejitenga, atakosa meshi ya Leo dhidi ya Leicester City na pia huenda akakosa mechi ya Champions League dhidi ya Atalanta.

Klopp amesema Salah alirejea siku ya Ijumaa na kuongeza kuwa uhusiano wake na mchezaji huyo ni “mzuri”.
Mjerumani huyo ameongeza kuwa: “Yuko hali nzuri na anaendelea kupata nafuu.”
Salah amefunga mabao 10 katika mechi 13 ya mashindano yote msimu huu.
Hauhitaji kuwaza linapokuja suala la ubashiri na odds kubwa. Bashiri na Meridianbet ukiwa popote ufurahie ushindi mkubwa katika michezo mbalimbali na hadi milioni 16 kwenye michezo ya kasino.



Adelta
Pole yake coronavirus sio poa
felister
pole yake
Ester jackson
Hivi caribuni tunategemea utapona na utarudi kambini
Elika
Pole sana
Angelina
Salah afate utaratibu za kiafya ili asipate tena maambukizi ya covid19
Shakila mrope
Pole san kipenzi
Fatina mfingi
Pole sana
Sauda
Pole.
Amani
Pole Sana kwake
Lydia Emmanuel Magoti
Pole Sana Jembe langu Salah
Asia Abdy
Nakutakia afya njema urudi mchezoni
Caroline
Salah inabidi awe makini.corona Mara mbili dah.alipopatikana na corona Mara ya kwanza ilibidi awe makini asiambukizwe tena.all in all pole Sana Salah
Sarah
Pole
Sania
Pole Salah corona sio kitu kizur
Hopemwaikuka
Salah tulia sasa hv hali sio nzur huko kwenu
Rahma
Pole
Sadick
Mahusiano mazuri kati ya kocha na mchezaji ni jambo muhimu linaloimarisha uwezo wa kujiamini kwa mchezaji na timu kwa ujumla. Nadhani Mo Salah anatafanya makubwa EPL msimu huu
Fatuma kasomo
Polee sana
samiah
Inshaallah atapona
aisha
Pole sana salah utakaa sawa tuu
Nasra
Pole sana
Rehema
Duuh pole
Povel
Mo salah get well soon
Saupha mohamed
Pole yake
Janeflora malisa
Duh
Mwajumah
Pole sana
magdalena
salah afate masharti ya kujikinga na corona sababu timu inamtegemea sana
Tatu
Pole sana
Latifa juma mohamed
Mo Salah inabid na akubaliane kufuata taratibu na kanuni za afya za covid 19, ma’am huu ugonjwa sio poa.
warda
Corona imedunda tu Tanzania