Kocha wa Chelsea Frank Lampard amemwambia kiungo wake Ross Barkley anaecheza kwa mkopo katika klabu ya Aston Villa kua yupo katika mipango yake ya baadae.
Lampard amenukuliwa akisema” Barkley ni mchezaji mzuri mwenye kipaji kikubwa na yupo kwenye mipango ya klabu yetu kwa siku zijazo,”

“Jambo la kufurahisha kwake ni kua anacheza vizuri katika club yake mpya na tunafurahia Jambo hilo, hivyo naamini akirejea Chelsea atakua bora kuliko alivyokua awali’. alisema
Barkley alipata maumivu katika nyama za paja katika mchezo wa jana dhidi ya Brighton na kutolewa dakika ya 5 ya mchezo. Villa iliambulia kipigo cha goli 2-1 nyumbani.
Hauhitaji kuwaza linapokuja suala la ubashiri na odds kubwa. Bashiri na Meridianbet ukiwa popote ufurahie ushindi mkubwa katika michezo mbalimbali na hadi milioni 16 kwenye michezo ya kasino.



Ester jackson
Ross Barkley. Njoo Chelsea jamani
felister
karibu chelsea
Elika
Karibu chama la wana
Angelina
Itakuwa vizur akija chelsea Burkley ni mchezaji mzuri
Sarah
Karibu chalsea
Shakila mrope
Welcome
Sauda
Mashabiki wa Chelsea tunakuhitaji.
Asia Abdy
Usiiache Chelsea bado tunakuhitaji
Fatina mfingi
Karibu home
Amani
Chelsea Kila mchezaji Wana mtaka wao
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri Sana kalibu kwenye chama lawana
Caroline
Barkley ni mchezaji mzuri na mwenye kipaji kikubwa
Sania
Karibu kundini
Hopemwaikuka
Imekaa njema hii
Sadick
Naona Lampard anabaini kosa la kumpeleka kwa mkopo na alikuwa anamchezesha namba tofauti na sasa anafanya vizuri mno
Fatuma kasomo
Gud news
aisha
Karibu sana chelsea
samiah
Gud news
Nasra
Safi sana
Rehema
Unapenda sana
Povel
Barkley mchezo mzuri sema Hana bahati na timu kubwa huwa akienda mara nyng hutolewa kwa mkopo na mwisho uamuwah kucheza timu ndogo tu
Saupha mohamed
Safi sana
Janeflora malisa
Safi
Mwajumah
Safi
magdalena
kijana kipaji chake ni kikubwa aende tu katika club nyingine
Tatu
Karibu Chelsea
Mariam mtandama
Safi
Issa
Ross barkley ni kiungo safi
warda
Amemtoa huku bado anamkubali