Klabu ya Manchester City leo wametoa taarifa ya fedha kwa mwaka 2021-21 huku wakitangaza kupata faida na kundeleza kuwa imara kwa muda mrefu japo kulikuwa na mlipuko wa Uviko-19 lakini haikuweza kuwahasiri.
Man City wameshuhudia kuongezeka kwa mapato ya jumla kwa asilimia 19 huku wakiweza kuweka kibindoni £569.8 million na kupata faida ya 2.4 million, ilikuwa mwaka wa mafanikio kwa city waliweza kuchukua ubingwa wa Uingereza, Carabao Cup na kushika nafasi ya pili kwenye michuano ya ligi ya mabingwa kwa mara ya kwanza.

Kwenye taarifa, mwenyekiti Khaldoon Al Mubarak alichukua nafasi ya sio tu kulinganisha mafanikio ya msimu huu tu bali kuangalia siku zijazo alinukuliwa “kufanikiwa kwa timu ya wanaume mwaka huu, ubingwa huu unawakilisha taji la tano la ligi ya Uingereza na kombe la ligi sita ndani ya miaka kumi ilyopita kwenye historia ya klabu.”
Khaldoon Al Mubarak aligusia kuhusu uwezo wa Manchester City kuweza kukabiliana na matatizo kama taaasisi kwa upana umoja kwenye mtazamo wa kibiashara, waliweza kurejesha faida na kufanikwa kutengeza mapato ya juu lichwa mlipuko wa uviko-19.
Ni muda wako kujiachia na mchezo maridhawa wa Almighty Aztec katika kasino bomba za meridianbettz. Nafasi ya kutengeneza mkwanja iko mikononi mwako kazi ni kwako.

CHEZA HAPA

