Messi Avunja Rekodi Argentina.

 

Mshambuliaji wa Klabu ya PSG na Argentina, Lionel Messi jana amevunja rekodi ya kuwa mchezaji wa taifa hilo wa kwanza kufunga magoli 80 katika michezo ya kimataifa.

 

Argentina walicheza kwenye uwanja wa nyumbani dhidi ya Uruguay katika mchezo wa kufuzu kucheza kombe la dunia na kushinda 3-0 wakati Messi akifunga goli la kwanza.

“Nafikiri tunakuwa bora sana katika ngazi za mpira wetu, sasa tunauwezo wakumiliki mpira.

 

“Usiku wa leo mchezo ulikuwa mgumu lakini ilibidi tushinde. Na tumefanya hivyo kwa usahihi.” alisema Messi.

Mchezo unaofwata Argentina atavaana na Peru wakati Uruguay wakisafiri kuwafwata Brazil ambao ni vinara wa kundi hilo wakiwa na alama 28 mpaka sasa.


PIGA MKWANJA NA LA ROUGE

Fanya wiki yako iwe ya kuvutia zaidi, tunaelekea Los Angeles kutengeneza mkwanja na kasino maridhawa ya LA Rouge kutoka katika kasino za mtandaoni za meridianbettz, Fursa ya kufurahi huku unajaza pochi yako.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.