Atletico Madrid imetangaza rasmi usajili wa Moussa Dembele kwa mkopo kutoka Lyon hadi mwisho wa kampeni za msimu wa 2020/21.
Mfaransa huyo anajiunga na Los Rojiblancos kuziba pengo la Diego Costa ambaye aliyeomba kuondoka klabuni kwasababu za kibinafsi.
Lyon itapokea euro milioni 1.5 na chaguo la ununuzi wa Dembele limewekwa kwa euro 33.5m lakini linaweza kuongezeka hadi euro 38.5m ikiwa motisha kadhaa zitapatikana.
Ikiwa Atletico itafanya mkataba huo kuwa wa kudumu katika majira haya ya joto, kilabu hiyo ya LaLiga Santander itadaiwa na Lyon asilimia kumi ya uuzaji wowote ujao.
Akiwa amekuzwa katika chuo cha Paris Saint-Germain, Dembele alichezea timu zote za vijana wa Ufaransa lakini bado hajachezea Les Blues mchezo hata mmoja.
MERIDIANBET INAKUPA NAFASI YA KUWA MILIONEA KWA KILA BAADA YA DAKIKA 5
Mchezo wa Keno unakupatia fursa ya kuibuka kidedea kupitia droo zinazochezwa kila baada ya dakika 5 tu!! Tunaposema Meridianbet ni nyumba ya mabingwa, tunamaanisha!!
Magdalena
Kila la kheri dembele
Rahmal
Dembele kila la kheri
Ernest Kimeru
Kila la kheri Moussa Dembele
Angelina
Kazi kazi
Shakila mrope
Kila la kheri
Saupha mohamed
Kila la kheri
Sadick
Akina Dembele wamekuwa wachezaji wazuri kila mahali wanapocheza bila shaka Moussa Dembele atafanya vzr na pengine kununuliwa moja kwa moja
lombo
well
Mwanahamisi
Kila la kheri
Caroline
All the best
Issa
Dembele atatisha
David Pere
Akiwa amekuzwa katika chuo cha Paris Saint-Germain, Dembele alichezea timu zote za vijana wa Ufaransa lakini bado hajachezea Les Blues mchezo hata mmoja
felister
kila la kheri
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri kila la kheri
Hopemwaikuka
Kaz kaz kijana
Dorophina
Kila lakheri kwake
Sania
Atletico wamepata jembe
Sarah
Kila lakheri
warda
hongera yake