Klabu ya Lyon inayocheza ligi soka nchini Ufaransa – Ligue 1, imethibitisha kuondoka kwa Moussa Dembele na kumkaribisha Islam Slimani .
Dembele amejiunga na Atletico Madrid kwa mkopo huku akitazamia kusajiliwa kwa mkataba wa mojamoja mwishoni mwa msimu. Slimani anatua Lyon akitokea Leicester City kama mchezaji huru.
Atletico walihamishia nguvu zao kwa Dembele baada ya Napoli kukataa ofa ya timu hiyo kwa mshambuliaji Arkadiusz Milik ambaye alitazamiwa kama mbadala wa Diego Costa.
Usajili wa timu hizi ni kama mfumo wa daladala, abiria mmoja akishuka-mwingine anapanda. Waswahili husema “kinatoka kitu,kinaingia kitu”
Islam Slimani (katikati)Diego Costa alikatisha mkataba wake na Atletico Madrid, Simeone akaona isiwetabu – kamsajili Dembele, kule Ufaransa nao wakaona sio tatizo- wakamvuta Slimani.
Dembele anakwenda kuungana na Luis Suarez pamoja na Jao Felix katika safu ya ushambuliaji kule Wanda Metropilitano wakati ambapo Slimani ataungana na Depay katika kuhakikisha Lyon wanaendelea kuwachachafya PSG kwenye mbio za ubingwa msimu huu.
MERIDIANBET INAKUPA NAFASI YA KUWA MILIONEA KWA KILA BAADA YA DAKIKA 5
Mchezo wa Keno unakupatia fursa ya kuibuka kidedea kupitia droo zinazochezwa kila baada ya dakika 5 tu!! Tunaposema Meridianbet ni nyumba ya mabingwa, tunamaanisha!!
Magdalena
Duh dembele alikuwa poa sana
Rahmal
Asante kwa taalifa
Ernest Kimeru
Slimani kiwango kimeshuka sana
Angelina
Ndembele alikuwa vizur
Shakila mrope
Asant san kwa taarifa
lombo
nc
Mwanahamisi
Asante kwa taalifa
Caroline
Pole Sana Dembele
Issa
Sliman atakiwasha
David Pere
Usajili wa timu hizi ni kama mfumo wa daladala, abiria mmoja akishuka-mwingine anapanda. Waswahili husema βkinatoka kitu,kinaingia kitu
felister
sliman atakiwasha
Lydia Emmanuel Magoti
Bonge ladili kwadembele
Hopemwaikuka
Kambi popote
Dorophina
Dembele asingetolewa kwenye kikosi
Sania
Sliman kazi kwake sasa kuziba pengo
Sarah
Maisha popote
Samira
Dembele atabaki kuwa bora
warda
Slimani nae yupo juu