Napoli inaripotiwa kuwa imeanza mazungumzo ya kumsajili winga wa Bologna, Dan Ndoye, huku Manchester United wakikataa ofa ya ufunguzi ya €40m kwa ajili ya Alejandro Garnacho.
Winga wa Bologna, Ndoye, ameonekana kama chaguo kuu la Napoli kuchukua nafasi ya Khvicha Kvaratskhelia endapo Manchester United wataendelea kukataa kuuza winga huyo mwenye umri wa miaka 20, Garnacho.
Pia meridianbet inatoa michezo ya kasino ya mtandaoni kama vile, Aviator, poker, Roullette, sloti na mingine kibao. Ingia meridianbet na ucheze sasa.
Kwa mujibu wa Gazzetta, Red Devils wamekataa ofa ya ufunguzi ya €40m kwa mchezaji huyu kutoka Argentina.
Hii si ya kushangaza ikizingatiwa kuwa vyanzo vingi kutoka Italia vinadai kuwa bei inayohitajiwa na Red Devils ni €80m.
