USIMPE NAFASI HII AZİZİ Kİ

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Aziz Ki chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Sead Ramovic ujanja wake upo kwenye mguu wake wa kushoto ambao umekuwa na mashuti yenye nguvu kitaifa na kimataifa.

USIMPE NAFASI HII AZİZİ Kİ

 

Ki anaingia kwenye rekodi ya nyota aliyepiga mashuti mengi katika mechi za hatua ya makundi huku mchezo dhidi ya Al Hilal ukitajwa kuwa ni mchezo aliocheza katika ubora wa hali ya juu ugenini.

Rekodi zinaonyesha kuwa kwenye mchezo dhidi ya Al Hilal Ki alipiga jumla ya mashuti matano ambayo yalilenga lango huku moja likiwa ni bao la mapema kabisa dakika ya 7 likiwapa pointi tatu Yanga ugenini.

Pia meridianbet inatoa michezo ya kasino ya mtandaoni kama vile, Aviator, poker, Roullette, sloti na mingine kibao. Ingia meridianbet na ucheze sasa.

Ikumbukwe kwamba Al Hilal mchezo wao kupoteza katika hatua ya makundi ilikuwa mbele ya Yanga iliyokuwa ugenini na mchezo wa pili ilipoteza dhidi ya TP Mazembe.

USIMPE NAFASI HII AZİZİ Kİ

Ki kwenye Ligi Kuu Bara Azizi Ki amefunga mabao mawili kama ilivyokuwa kwenye hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika, ana kazi ya kutetea kiatu cha ufungaji bora ndani ya ligi namba nne kwa ubora.

Msimu wa 2023/24 Aziz Ki alifunga mabao 21 katika hayo alifunga hat trick mbili na alitoa pasi 8 za mabao kwenye mechi 27 ambazo alipata nafasi ya kucheza mchezaji bora wa msimu uliopita.

Msimu wa 2024/25 Azizi Ki amecheza mechi 15 akitoa pasi nne za mabao huku akifunga mabao mawili kwenye dakika 1,084 alizocheza huku ujanja wake ikiwa ni mguu wa kushoto ambapo kafunga mabao mawili na yote kwa mapigo ya penalti kumbuka kwamba alikosa penalty moja kwenye mchezo dhidi ya Tabora United.

Acha ujumbe